Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
*"Nakusihi mwanaume ufanye kazi ili umletee chakula mke na c yeye akuletee chakula. Kumbuka kwa mara ya kwanza mwanamke kumletea chakula mwanaume ilikuwa ni pale Eden na tulijikuta tumefukuzwa wote Bustani ya Eden... Usisubir kufukuzwa hapo Ulipo*
Chakula cha kuletewa na mwanamke hakitakuacha salama
[emoji28][emoji23][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Chakula cha kuletewa na mwanamke hakitakuacha salama
[emoji28][emoji23][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app