Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
mkuu nadhan unashindwa kuelewa padogo tu Alimentary canal ni mfumo wa chakula kwa kiswahili kufanakupona kaweza kukuelezea chakula kinasagwa vipi kuanzia mdomoni mpaka unaenda chooni via anus[mkundu]Niwie radhi kama nimekukera Mkuu
Hapo sasa nimepata picha alimentary canal imeungana na artery inayoelekea sehemu za siri.
Kuna haja ya kudadavua uhusiano kati ya alimentary canal na sex organs.
wewe unapotakiwa kupaelewa zaidi ni stage ya pili assimilation ambayo tunasema chakula kinasharabiwa kwenye utumbo mwembamba
kuanzia hapa mfano kama ilikuwa ni starch(wanga)
hapa katika assimilation hufyonzwa na mishipa kwenda kwenye kongosho pancrease huko huweza kubadilishwa kwenda glucose
kumbuka glucose ndio tunaitumia katika miili yetu kama chanzo cha nishati nayo ikiwa katika mfumo wa ATP(ADONESINE-TRI-PHOSPHATE)
kama kitazidi hutunzwa katika mfumo wa glycogen
SASA WEWE NI KUTOKA HAPA NDIPO UNATAKA UWEZE KUELEWA
Tuanze na karanga zenye wingi wa protein ndani yake hizi baada ya kupitia hatua zote mdomoni tumboni hukutana na enzyme aina ya pepsin ambayo husharabu kwenda pepsinogen na hizo hufika utumbo mwembamba na kule husharabiwa na protease kwenda peptide hiyo ndio hufyonzwa mwilini
na sex organs huipataje
rudi kwenye spermatogenesis huu ni mfumo wa kutengeneza mbegu za kiume
kila siku ni lazima sperms zaidi ya million zizalishwe katika mwili wa mwanaume hapa huzalishwa kwenye korodani(testes)
na swali lako kivipi sehemu za siri huhusiana na chakula ipo hapa
pituitary hormone ndio kiongozi mkuu hiuamrisha hormoni za uzazi gonard hormone endapo kuna uhitaji wa peptide katika korodani hiyo huamrisha kongosho na kuzipeleka huko
na hapo ndipo mbegu huanza kutengenezwa zile zipo katika mfumo wa protein kwa uasili wake
na katika sexual intercourse pituitary ndio huamrisha kiasi gani kitoke baada ya seli zilizopo katika ncha ya uume
HIKI NI KITENDO MWENDELEZO MBEGU ZIKIZIDI MWILINI NI LAZIMA ZITOKE ZIPO NJIA
ndoto nyevu n.k
hii ni Bs niliyomeza miaka saba iliyopita kama pana ugumu lete swali mkuu BIOS=LIFE