I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Nilionya kwamba atachezea moto kama ndugai
Mkuu Mimi Nina Clip ya maneno hayo anayokanusha sasa
🤣🤣🤣🤣,nchi ngumu mno!Aisee hii nchi ni ngumu.
ndo kayakana sasa mnamlazimisha au😀😀😀Mkuu Mimi Nina Clip ya maneno hayo anayokanusha sasa
Video ipo amesema hii katiba ya sasa itapelekea makamu wa rais amloge rais afe ili yeye awe rais.Kwani yeye nani?
Aseme asikike mama anaweza kumpa ukuu wa mkoa Tena.
Tuma tuioneMkuu Mimi Nina Clip ya maneno hayo anayokanusha sasa
Tatizo unakunywa sana pombe mbovu angalia zilivyokubabua mdomoView attachment 2071153
kwakweli hata mimi ningeshangaa mtu mzima aongee eti ujinga kama ule?
View attachment 2071185
Anatakiwa kuwashitaki NiPASHE ili aeleweke.
Aisee hii nchi ni ngumu.
Nchi imejamba hii..🤣🤣🤣🤣,nchi ngumu mno!