Chalamila akusudia kuanzisha oparesheni maalumu dhidi ya waganga wa kienyeji Dar!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Your browser is not able to display this video.

Hivi wakuu mkoa na wa wilaya za Dar es Salaam huwa wanakuwa na mpango kazi maalumu wa kufanyia kazi kwa mkoa na wilaya husika?

Yaani baada ya kutokea mauaji ya mtoto albino huko Muleba, Kagera Chalamila yeye anaibuka na oparesheni ya waganga wa kienyeji Dar! Sasa Chalamila atawashughulikia waganga wa kienyeji kwa sheria zipi za nchi wakati waganga wa kienyeji wanaruhusiwa kwa katiba ya nchi hii?

PIA SOMA
- Kufuta mauaji ya albino, ni kutokomeza kabisa Waganga wapiga ramli

- Damu ya huyu Mtoto Itazungumza mpaka wahusika wote na mtandao wao wapatikane popote walipo hapa duniani
 
Waanze kwanza kufuta vyama vyao ambavyo vimesajiliwa serikalini.
 
Mwambieni huyo bwana Chalamila Kuna baadhi ya waganga wa kienyeji Wana vibali na wanalipa Kodi,Sasa akiingia kiwenda wazimu lazima wamshitaki kama yule mkuu wake wa wilaya, atalipa 100B
 
Uganga WA kienyeji na dini hudhibitiwa na sayansi sio vurugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…