Chalamila alipotoshwa, Mhandisi Gabriel usikubali

Kama upo serious na nafasi hiyo na nifuatiliaji wa mambo huwezi kupotoshwa kibwege namna hiyo
 
Mradi unaandiko na hatua za utekelezaji chini wizara madini nk, kwamba taarifa ya RC iondoe share za serikali Kama zipo!?
Shangaa na wewe....Hii kelele inaashiria jambo nyuma ya hii kitu, jiwe limetupwa gizani lika bonda mtu akasahau halikulengwa kwake...
Masalia ya magufuli yanaondolewa taratibu.
Acha uchonganishi...
 
Siku nyingine tumia akili yako vizuri. Unadhani hisa za Serikali (TTCL) zilizoibiwa katika kampuni ya Celtel (sasa Airtel) hazikuwa katika maandishi ya kisheria?
 
Mradi unaandiko na hatua za utekelezaji chini wizara madini nk, kwamba taarifa ya RC iondoe share za serikali Kama zipo!?
Hata hisa za Serikali zilizoporwa katika Celtel zilikua katika utekelezaji chini ya wizara ya mawasiliano.
 
Ofisi ya RC pale mwanza 90% ya staff tangu kafika walikua hawamkubali.

Probably watakua wamempotosha maksudi ili avimbe mabega ili aliwe kichwa[emoji1787]
 
Acha uongo Mkuu wa Mkoa hana uwezo wa kuondoa kampuni kwenye umiliki wa share hapo umedanganya
 
Chalamila bangi sana kama Boban tu
Bangi mnaionea tuh,after all bangi ni mmea tuh,unakosa gani mmea ule?

Mbona Kuna mimea Mingi tuh haisemwi vibaya,ule mmea kama hujachanganya na chochote ni dawa ule buji buji,it's a weed,just a 🌲 tree,like other trees
 
Tabia za mabega juu, alifanya ziara TRA ,Mza kujitambulisha aliongea lugha za kibabe eti watu hawakumwelewa SSH eti "walipakodi wengi wakorofi si vibaya mkitumia vyombo vya dola, ...RPC... fanyeni kikao waiteni walipakodi korofi nami mniite niwaambie ...' Rejea video you tube " Chalamila TRA Mwanza"
 
Bado sijaelewa kabisa..

Labda Chalamila katumika Tu kuondoa watu
Kwenye mjadala wa bajeti..
Siasa za Tanzania. Ila kila chenye mwanzo kina mwisho. Hawa viongozi wanajisahau sana wakati mwingine. Sisi tunataka maendeleo na maisha bora. Wao wanataka madaraka kwa kujipendekeza pendekeza.
Wanasahau kabisa wanawatumikia wananchi
 
Hizo sababu za hisa sijui nini sio za kumwondoa chalamila.huyu alikuwa na ajenda ya siri kisiasa.Kumdhalilisha Madam President.Full stop.
 
Chalamamila " nimempigia Rais Simu asubuhi hii kumshukuru kwa kutupatia milioni mia mbili kwa utekelezaji wa miradi katika jiji la Mbeya". Siku chache Taifa likatangaziwa kwa simanzi na masikitiko makubwa ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 Hayati John pombe Joseph Magufuli.

Mkuu wa Mkoa anaetumia hekima, busara na maarifa hawezi kuwahanasisha wananchi kuwa wabebe mabango hata ya matusi katika ujio ziara ya Rais!. Hili ni kosa kubwa sana linalofanywa na mtawala mpayukaji na mropokaji - wewe Chalamila ulipata wapu ujasiri wa kuwahamasisha kuandika matusu kwa Rais?. Nakushauri kasome 14 principles of management (power of command/scalar chain). Mpayukaji aende akapayuke Iringa.
 
Andiko halina mantiki.
Kwani Mkuu wa Mkoa ndio anahisa katika hicho kiwanda au Treasury Secretary wa Hazina?
Uliyoyaandika hayana msingi kwani Serikali haifanyi kazi kwa matamko yasiyoendana na uhalisia wakile kilicho katika umiliki wa serikali.
Na serikali haiwezi kuondolewa umiliki au hisa zake kwa tamko la Mkuu wa Mkoa.


Mkuu wa Mkoa Chaamila kakosa adabu PERIOD.
Kwa kuhamasisha mabango ya matusi kamkosea sana Mama Samia na kutoheshimu madraka na heshima ya Mkuu wa Nchi.
 
Engineer Gabriel sawa na yule jamaa aliyehamishiwa Dodoma, sio watu wa vyombo vya habari kiviiile but ni watu wa KAZI sana, jamaa aliibadiri sana Geita
 
Bado sijaelewa kabisa..

Labda Chalamila katumika Tu kuondoa watu
Kwenye mjadala wa bajeti..
Umeona mbali mkuu. Na it's highly likely na kauli ya Mwigulu pia, naona madam presida kaamua kuwadivert watu
 

Huyo bila shaka alivuta kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…