Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwamba hao Alshabab wako Dar tu, Tanga na Shinyanga hawapo?Yupo sahihi kabisa.Kuna watu hufia nyumba za kulala wageni kwa kuuwawa au vinginevyo.
Al-shabab waliofanya ugaidi Kenya kuna waliokua wakilala nyumba za wageni.
Yeye ni mkuu wa mkoa husika,wazo lake ikiwa linaonekana linafaa linaweza kuchukuliwa na mikoa mingine.Kwamba hao Alshabab wako Dar tu , tanga na shinyanga hawapo ?
Wajumbe wa nyumba 10 hawamo ndani ya Katiba , hawa ushahidi unaonyesha kwamba wanalinda hata Wahamiaji haramu ili waipigie kura ccm
Katika hili yupo sahihi. Tunahitaji kuwa na ufuatiliaji mzuri, kuanzia serikali za mitaa mpaka ngazi ya mjumbe wa nyumba kumi. Ni muhimu sana kwaajili ya usalama wetu.
Mbona kwao Tanangozi utaratibu huo hamna?yeye ni mkuu wa mkoa husika,wazo lake ikiwa linaonekana linafaa linaweza kuchukuliwa na mikoa mingine.
sema ni mtu wa comedy hata akiongea la maana linaonekana pumba.
mikoa mingi haupo huo utaratibu,yeye RC katoa pendekezo Tanangozi wakiona unafaa watafanya pia.Mbona kwao Tanangozi utaratibu huo hamna ?
Mimi mwenyewe huwa naandika jina la mshikaji wangu na namba zake za simu yuko mkoa mwingineYupo sahihi kabisa.Kuna watu hufia nyumba za kulala wageni kwa kuuwawa au vinginevyo.
Al-shabab waliofanya ugaidi Kenya kuna waliokua wakilala nyumba za wageni.
Ikiwezekana iwe lazima pia mtu akihama sehemu moja atoke na barua kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa apeleke sehemu anayohamia. Asipokelewe mpaka awe na hiyo barua husika.Katika hili yupo sahihi. Tunahitaji kuwa na ufuatiliaji mzuri, kuanzia serikali za mitaa mpaka ngazi ya mjumbe wa nyumba kumi. Ni muhimu sana kwaajili ya usalama wetu.
Sasa ikitokea mwenza wako amefia gesti, wewe unasepa, anaenda kushikwa mshkaji wako, unaona sawa hiyo?Mimi mwenyewe huwa naandika jina la mshikaji wangu na namba zake za simu yuko mkoa mwingine
Mbona kwao Tanangozi utaratibu huo hamna?
Ungeijua vizuri Nairobi usingesema hivyo, kwa taarifa yako Nairobi kuna eneo moja wanaishi wasomali, eneo hilo si gesti hausi ni makazi ya watu.Yupo sahihi kabisa.Kuna watu hufia nyumba za kulala wageni kwa kuuwawa au vinginevyo.
Al-shabab waliofanya ugaidi Kenya kuna waliokua wakilala nyumba za wageni.
Ni kweli hizi issue za mauaji guest zimekuwa too much lazima utaratibu ubadilike ukiingia uache kitambulisho chako chochote ili ikitokea tatizo kama mauaji tujue pa kuanziaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaagiza watendaji wa serikali kuangalia upya utaratibu wa kuingia katika nyumba za wageni maarufu kama gesti ikiwezekana kuwepo na vitambulisho ili kujihakikishia usalama zaidi.
Chalamila amesema hayo leo Januari 15, 2024 jijini Dar es Salaam kwenye kikao na watendaji wa Serikali kuhusu magonjwa ya mlipuko.
Amesema "Muda mwingine tembeeni hadi usiku kukagua madaftari kukagua watu waliongia, kuna vigesti vinatumika kama vichocheo vya uhalifu."
View attachment 2873154