Chalamila: Baada ya kuombewa na Mtume Mwamposa Siku ile ile usiku nikateuliwa Mkuu wa mkoa

Chalamila: Baada ya kuombewa na Mtume Mwamposa Siku ile ile usiku nikateuliwa Mkuu wa mkoa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tunakumbushana tu Maneno ya RC Chalamila akiwa Ibadan Kawe kwa Mtume Mwamposa

Ni kweli siku aliyoombewa mbele ya waamuni Wote pale Iringa nilikuwepo, tena aliombewa yeye na Mtumbuliwa mwingine Kasesela

Kasesela yeye akapata unec

Msione vyaelea vyaundwa

Navalonge swela 😂
 
Mwambosa ni mchawi so hapo hakuna maajabu ongeza na maneno ya makonda kwamba Kuna Viongozi wanamroga saa100 utapata majibu!!
 
Aliteuliwa baada ya Kutoa kauli Ile kuwa Makamo asijemnanihii wa juu Ili kuukwaa u CEO!!

Buldoza anasingiziwa, Hana uwezo huo.
 
Back
Top Bottom