Tunakumbushana tu Maneno ya RC Chalamila akiwa Ibadan Kawe kwa Mtume Mwamposa
Ni kweli siku aliyoombewa mbele ya waamuni Wote pale Iringa nilikuwepo, tena aliombewa yeye na Mtumbuliwa mwingine Kasesela
Kasesela yeye akapata unec
Msione vyaelea vyaundwa
Navalonge swela 😂