Chalamila: Changamoto iliyojitokeza Wakati wa Mkutano wa Nishati ni Uchache wa Hoteli

Chalamila: Changamoto iliyojitokeza Wakati wa Mkutano wa Nishati ni Uchache wa Hoteli

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
My Take
Hii mikutano iwe inapelekwa Arusha na Zanzibar ndiko hakuna uhaba wa Hoteli,hapo Dar kumejaa ma Bar na Hoteli za Kawaida ambazo Hazina hadhi ya Kimataifa.

==

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu nishati, uliomalizika hivi karibuni mkoani humo.

Chalamila amekiri kujifunza mambo kadhaa baada ya kupokea wageni wengi Mkoa wa Dar es Salaam wakiwemo wakuu wa nchi za Afrika, akisema suala la usafi katika mkoa huo linawezekana huku akiahidi kuweka mikakati muhimu ya kuhakikisha mkoa huo unakuwa msafi kwa kipindi chote.

Hata hivyo amesema katika mapokezi ya wageni wa mkutano huo, miongoni mwa changamoto zilizojitokeza ni uchache wa hoteli.

Kufuatia changamoto hiyo Chalamilla amesena wiki ijayo itaundwa kamati maalumu itakayotembelea majengo chakavu na kushirikiana na wamiliki wa majengo hayo ili kuyaboresha na kuyafanya kuwa hoteli za kisasa.

Pia amegusia mpango wa Mkoa wa Dar es Salaam kuboresha na kuongeza uwekezaji katika maeneo ya vivutio ikiwa ni pamoja na Coco Beach ili kuwawezesha watu kutoka mataifa mbalimbalil kutembelea maeneo hayo.

 

Attachments

  • Snapinst.app_video_AQN_V_IkK4GICldUEgjqxAnkvNyik1R0lZED-LC3jX-5DQmW1Lz4aOCCgtBFUjzItQZmn2LRBWM...mp4
    6.6 MB
  • Kicheko
Reactions: rr4
Hujielewi! Hivi ni hoteri hipi kwa hadhi na wingi hiko/ziko sijui Arusha/Zanzibar/Mwanza kuliko Dar! Na hii habari sio sahihi!. Dar yooote kuanzia Ilala mpaka mtaa wa uhuru mpaka mnazi mmoja mpaka station, sokoine drive, samora drive, Bibititi, mpaka Ohio, mitaa ya garden, shaban Robert, Azikiwe, Alli Hassan Mwinyi mpaka mwenge, kuanzia makutano Bibititi na Morogoro Road mpaka Fire, mitaa ya Regency, Upanga mpaka Salender Bridge, Oysterbay yoote mpaka masaki, mwambao wa Bahari kuanzia Coco beach hadi Mbweni kooote huko kumejaaa mahoteri ya kifahari nyota 3, 4, 5, 6, 7, ..., alafu mtu anajinyea heti kakosa hoteri???? Wee mwehu!
 
h
Hujielewi! Hivi ni hoteri hipi kwa hadhi na wingi hiko/ziko sijui Arusha/Zanzibar/Mwanza kuliko Dar! Na hii habari sio sahihi!. Dar yooote kuanzia Ilala mpaka mtaa wa uhuru mpaka mnazi mmoja mpaka station, sokoine drive, samora drive, Bibititi, mpaka Ohio, mitaa ya garden, shaban Robert, Azikiwe, Alli Hassan Mwinyi mpaka mwenge, kuanzia makutano Bibititi na Morogoro Road mpaka Fire, mitaa ya Regency, Upanga mpaka Salender Bridge, Oysterbay yoote mpaka masaki, mwambao wa Bahari kuanzia Coco beach hadi Mbweni kooote huko kumejaaa mahoteri ya kifahari nyota 3, 4, 5, 6, 7, ..., alafu mtu anajinyea heti kakosa hoteri???? Wee mwehu!
Otel
Hujielewi! Hivi ni hoteri hipi kwa hadhi na wingi hiko/ziko sijui Arusha/Zanzibar/Mwanza kuliko Dar! Na hii habari sio sahihi!. Dar yooote kuanzia Ilala mpaka mtaa wa uhuru mpaka mnazi mmoja mpaka station, sokoine drive, samora drive, Bibititi, mpaka Ohio, mitaa ya garden, shaban Robert, Azikiwe, Alli Hassan Mwinyi mpaka mwenge, kuanzia makutano Bibititi na Morogoro Road mpaka Fire, mitaa ya Regency, Upanga mpaka Salender Bridge, Oysterbay yoote mpaka masaki, mwambao wa Bahari kuanzia Coco beach hadi Mbweni kooote huko kumejaaa mahoteri ya kifahari nyota 3, 4, 5, 6, 7, ..., alafu mtu anajinyea heti kakosa hoteri???? Wee mwehu!
Hujielewi! Hivi ni hoteri hipi kwa hadhi na wingi hiko/ziko sijui Arusha/Zanzibar/Mwanza kuliko Dar! Na hii habari sio sahihi!. Dar yooote kuanzia Ilala mpaka mtaa wa uhuru mpaka mnazi mmoja mpaka station, sokoine drive, samora drive, Bibititi, mpaka Ohio, mitaa ya garden, shaban Robert, Azikiwe, Alli Hassan Mwinyi mpaka mwenge, kuanzia makutano Bibititi na Morogoro Road mpaka Fire, mitaa ya Regency, Upanga mpaka Salender Bridge, Oysterbay yoote mpaka masaki, mwambao wa Bahari kuanzia Coco beach hadi Mbweni kooote huko kumejaaa mahoteri ya kifahari nyota 3, 4, 5, 6, 7, ..., alafu mtu anajinyea heti kakosa hoteri???? Wee mwehu!
HOtel za kulaza VIP ppl zenye ulinzi mzuri ?
 
Hujielewi! Hivi ni hoteri hipi kwa hadhi na wingi hiko/ziko sijui Arusha/Zanzibar/Mwanza kuliko Dar! Na hii habari sio sahihi!. Dar yooote kuanzia Ilala mpaka mtaa wa uhuru mpaka mnazi mmoja mpaka station, sokoine drive, samora drive, Bibititi, mpaka Ohio, mitaa ya garden, shaban Robert, Azikiwe, Alli Hassan Mwinyi mpaka mwenge, kuanzia makutano Bibititi na Morogoro Road mpaka Fire, mitaa ya Regency, Upanga mpaka Salender Bridge, Oysterbay yoote mpaka masaki, mwambao wa Bahari kuanzia Coco beach hadi Mbweni kooote huko kumejaaa mahoteri ya kifahari nyota 3, 4, 5, 6, 7, ..., alafu mtu anajinyea heti kakosa hoteri???? Wee mwehu!
Wewe ndio hunielewi,Kwa takwimu rasmi ARUSHA NA ZANZIBAR NDIO ZINAONGOZA KWA MAHOTELI YENYE HADHI.
 
Hujielewi! Hivi ni hoteri hipi kwa hadhi na wingi hiko/ziko sijui Arusha/Zanzibar/Mwanza kuliko Dar! Na hii habari sio sahihi!. Dar yooote kuanzia Ilala mpaka mtaa wa uhuru mpaka mnazi mmoja mpaka station, sokoine drive, samora drive, Bibititi, mpaka Ohio, mitaa ya garden, shaban Robert, Azikiwe, Alli Hassan Mwinyi mpaka mwenge, kuanzia makutano Bibititi na Morogoro Road mpaka Fire, mitaa ya Regency, Upanga mpaka Salender Bridge, Oysterbay yoote mpaka masaki, mwambao wa Bahari kuanzia Coco beach hadi Mbweni kooote huko kumejaaa mahoteri ya kifahari nyota 3, 4, 5, 6, 7, ..., alafu mtu anajinyea heti kakosa hoteri???? Wee mwehu!
Bibititi=Bibi Titi
Hoteri=Hoteli (Yaani kura unakura bure na kurara unarara bure - afande Chacha)
 
Hayo mahoteri yako mangapi? 2, 7, 10? Ukijiwa na marais 26 na makamu wa raisi 200 na ujumbe wao una mahali pa kuwaweka?
Ngurdoto Moja tuu Ile Ina presidential suits za kuzidi achana na rooms za kawaida.

Zanzibar hata waje 200 watalala sema shida ya Zanzibar hakuna ukimbi mkubwa wa ku host watu wengi ila mahoteli huwezi yamaliza na uzuri Yana helipad,nk.
 
Makonda aliwahi kuwa hapo dsm, fuatilia hotuba zake za mwanzoni mwanzoni. Huo mji muulizeni vizuri mzee matonya
 
Ngurdoto Moja tuu Ile Ina presidential suits za kuzidi achana na rooms za kawaida.

Zanzibar hata waje 200 watalala sema shida ya Zanzibar hakuna ukumbi mkubwa wa ku host watu wengi ila mahoteli huwezi yamaliza na uzuri Yana helipad,nk.
Arusha nayo isingeweza kuhimili ugeni huu kwanza ni kutokana na kutokuwa na ukumbi mkubwa kama JNICC ule wa AICC ni mdogo na pia Ngurudoto ilishakufa hiyo hotel. Hotel zilizo kubwa labda ni GRAN MELIA, Mount Meru, Four Point na zingine kama 2 . Pia changamoto ya highway maana wageni kushuka KIA halafu km 45 kutoka KIA mpaka Arusha.
 
Back
Top Bottom