Chalamila kaongea uhalisia wa mambo ulivyo ila kwa lugha yenye ukakasi, hapaswi kuadhibiwa

Chalamila kaongea uhalisia wa mambo ulivyo ila kwa lugha yenye ukakasi, hapaswi kuadhibiwa

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Naona kuna watu wanajaribu kutwist uhalisia wa mambo yalivyo mahospitalini kutokana na aliyoongea mkuu wa mkoa wa Dar, Mhe. Chalamila.

Ila huo ndiyo uhalisia wa mambo ulivyo kwenye mahospitali yote ya umma kuanzia dispensari mpaka hospitali ya taifa.

Zile huduma wanazohubiri wanasiasa kwamba ni bure ni uongo. Hakuna cha bure na mwananchi unatakiwa ulipie.

Ngoja niwape mifano midogo tu:

1. Wanasiasa huwa wanahubiri kwamba wazee wote miaka 60 na kuendelea wanatibiwa bure.

2. Vilevile watoto chini ya miaka 5 wanatibiwa bure.

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

3. Wamama wajawazito nao wanasiasa wanadai wanatibiwa bure.

Ila uhalisia ni kwamba hayo makundi 3 hapo juu msamaha walionao ni gharama ya kufungua faili tu (Consultation fee) ndiyo hawalipii. Lakini gharama zingine zote ikiwemo vipimo, dawa na gharama ya kulazwa/kitanda wanalipia kama kawaida na wanalipa kwa kiwango kilekile kama wagonjwa wengine.

Muhimbili kwa sasa ukijifungua kawaida gharama yake ni 300,000/= na ukijifungua kwa operation gharama ni 700,000/=. Kumbuka hizo ni gharama za kujifungua tu tofauti na gharama zingine kama vipimo na dawa.

Hivyo kwa wale mnaopiga kelele Chalamila kakosea, hajakosea bali ameongea ukweli na uhalisia wa mambo yalivyo, tena mnapaswa mumshukuru kwa kutoboa siri.

Wanaotakiwa kuwajibishwa kwenye hili ni wanasiasa wengine ambao wamekuwa wakidanganya umma kwenye hili jambo, wakati uhalisia hauko hivyo.
 
Naona kuna watu wanajaribu kutwist uhalisia wa mambo yalivyo mahospitalini kutokana na aliyoongea mkuu wa mkoa wa Dar, Mhe. Chalamila.

Ila huo ndiyo uhalisia wa mambo ulivyo kwenye mahospitali yote ya umma kuanzia dispensari mpaka hospitali ya taifa.

Zile huduma wanazohubiri wanasiasa kwamba ni bure ni uongo. Hakuna cha bure na mwananchi unatakiwa ulipie.

Ngoja niwape mifano midogo tu:

1. Wanasiasa huwa wanahubiri kwamba wazee wote miaka 60 na kuendelea wanatibiwa bure.

2. Vilevile watoto chini ya miaka 5 wanatibiwa bure.

3. Wamama wajawazito nao wanasiasa wanadai wanatibiwa bure.

Ila uhalisia ni kwamba hayo makundi 3 hapo juu msamaha walionao ni gharama ya kufungua faili tu (Consultation fee) ndiyo hawalipii. Lakini gharama zingine zote ikiwemo vipimo, dawa na gharama ya kulazwa/kitanda wanalipia kama kawaida na wanalipa kwa kiwango kilekile kama wagonjwa wengine.

Muhimbili kwa sasa ukijifungua kawaida gharama yake ni 300,000/= na ukijifungua kwa operation gharama ni 700,000/=. Kumbuka hizo ni gharama za kujifungua tu tofauti na gharama zingine kama vipimo na dawa.

Hivyo kwa wale mnaopiga kelele Chalamila kakosea, hajakosea bali ameongea ukweli na uhalisia wa mambo yalivyo, tena mnapaswa mumshukuru kwa kutoboa siri.

Wanaotakiwa kuwajibishwa kwenye hili ni wanasiasa wengine ambao wamekuwa wakidanganya umma kwenye hili jambo, wakati uhalisia hauko hivyo.
Hujakosea! Huo ndiyo Ukweli.
 
Wabongo hawapendi kuambiwa ukweli halafu wanapenda sana vitu vya bure bure. Ni jambo la ajabu watu wanapeana mimba wenyewe kwa starehe zao halafu wanadai serikali iwape huduma za kuzaa bure!
 
Naona kuna watu wanajaribu kutwist uhalisia wa mambo yalivyo mahospitalini kutokana na aliyoongea mkuu wa mkoa wa Dar, Mhe. Chalamila.

Ila huo ndiyo uhalisia wa mambo ulivyo kwenye mahospitali yote ya umma kuanzia dispensari mpaka hospitali ya taifa.

Zile huduma wanazohubiri wanasiasa kwamba ni bure ni uongo. Hakuna cha bure na mwananchi unatakiwa ulipie.

Ngoja niwape mifano midogo tu:

1. Wanasiasa huwa wanahubiri kwamba wazee wote miaka 60 na kuendelea wanatibiwa bure.

2. Vilevile watoto chini ya miaka 5 wanatibiwa bure.

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

3. Wamama wajawazito nao wanasiasa wanadai wanatibiwa bure.

Ila uhalisia ni kwamba hayo makundi 3 hapo juu msamaha walionao ni gharama ya kufungua faili tu (Consultation fee) ndiyo hawalipii. Lakini gharama zingine zote ikiwemo vipimo, dawa na gharama ya kulazwa/kitanda wanalipia kama kawaida na wanalipa kwa kiwango kilekile kama wagonjwa wengine.

Muhimbili kwa sasa ukijifungua kawaida gharama yake ni 300,000/= na ukijifungua kwa operation gharama ni 700,000/=. Kumbuka hizo ni gharama za kujifungua tu tofauti na gharama zingine kama vipimo na dawa.

Hivyo kwa wale mnaopiga kelele Chalamila kakosea, hajakosea bali ameongea ukweli na uhalisia wa mambo yalivyo, tena mnapaswa mumshukuru kwa kutoboa siri.

Wanaotakiwa kuwajibishwa kwenye hili ni wanasiasa wengine ambao wamekuwa wakidanganya umma kwenye hili jambo, wakati uhalisia hauko hivyo.
Kwa hiyo ukiwa kiongozi ambaye ni mfariji wa wale unaowaongoza wakati unajua sera ya afya maelekezo yake hiyo ilikuwa ni kauli muafaka kwa huyo mgonjwa?
 
Naona kuna watu wanajaribu kutwist uhalisia wa mambo yalivyo mahospitalini kutokana na aliyoongea mkuu wa mkoa wa Dar, Mhe. Chalamila.

Ila huo ndiyo uhalisia wa mambo ulivyo kwenye mahospitali yote ya umma kuanzia dispensari mpaka hospitali ya taifa.

Zile huduma wanazohubiri wanasiasa kwamba ni bure ni uongo. Hakuna cha bure na mwananchi unatakiwa ulipie.

Ngoja niwape mifano midogo tu:

1. Wanasiasa huwa wanahubiri kwamba wazee wote miaka 60 na kuendelea wanatibiwa bure.

2. Vilevile watoto chini ya miaka 5 wanatibiwa bure.

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

3. Wamama wajawazito nao wanasiasa wanadai wanatibiwa bure.

Ila uhalisia ni kwamba hayo makundi 3 hapo juu msamaha walionao ni gharama ya kufungua faili tu (Consultation fee) ndiyo hawalipii. Lakini gharama zingine zote ikiwemo vipimo, dawa na gharama ya kulazwa/kitanda wanalipia kama kawaida na wanalipa kwa kiwango kilekile kama wagonjwa wengine.

Muhimbili kwa sasa ukijifungua kawaida gharama yake ni 300,000/= na ukijifungua kwa operation gharama ni 700,000/=. Kumbuka hizo ni gharama za kujifungua tu tofauti na gharama zingine kama vipimo na dawa.

Hivyo kwa wale mnaopiga kelele Chalamila kakosea, hajakosea bali ameongea ukweli na uhalisia wa mambo yalivyo, tena mnapaswa mumshukuru kwa kutoboa siri.

Wanaotakiwa kuwajibishwa kwenye hili ni wanasiasa wengine ambao wamekuwa wakidanganya umma kwenye hili jambo, wakati uhalisia hauko hivyo.
i support him 100%, sijawahi kuona free health care service inatolewa free, na ikawa nI QUALITY service, matokeo yake ndyo hayo, serikali haiwezi mudu, most of the time "essential items" ziko out of stock, ni bora watu wachangie huduma ili ziboreshwe, kutakuwa na exception ya baadhi ya cases chache lazima wawe exempted.
 
Naona kuna watu wanajaribu kutwist uhalisia wa mambo yalivyo mahospitalini kutokana na aliyoongea mkuu wa mkoa wa Dar, Mhe. Chalamila.

Ila huo ndiyo uhalisia wa mambo ulivyo kwenye mahospitali yote ya umma kuanzia dispensari mpaka hospitali ya taifa.

Zile huduma wanazohubiri wanasiasa kwamba ni bure ni uongo. Hakuna cha bure na mwananchi unatakiwa ulipie.

Ngoja niwape mifano midogo tu:

1. Wanasiasa huwa wanahubiri kwamba wazee wote miaka 60 na kuendelea wanatibiwa bure.

2. Vilevile watoto chini ya miaka 5 wanatibiwa bure.

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

3. Wamama wajawazito nao wanasiasa wanadai wanatibiwa bure.

Ila uhalisia ni kwamba hayo makundi 3 hapo juu msamaha walionao ni gharama ya kufungua faili tu (Consultation fee) ndiyo hawalipii. Lakini gharama zingine zote ikiwemo vipimo, dawa na gharama ya kulazwa/kitanda wanalipia kama kawaida na wanalipa kwa kiwango kilekile kama wagonjwa wengine.

Muhimbili kwa sasa ukijifungua kawaida gharama yake ni 300,000/= na ukijifungua kwa operation gharama ni 700,000/=. Kumbuka hizo ni gharama za kujifungua tu tofauti na gharama zingine kama vipimo na dawa.

Hivyo kwa wale mnaopiga kelele Chalamila kakosea, hajakosea bali ameongea ukweli na uhalisia wa mambo yalivyo, tena mnapaswa mumshukuru kwa kutoboa siri.

Wanaotakiwa kuwajibishwa kwenye hili ni wanasiasa wengine ambao wamekuwa wakidanganya umma kwenye hili jambo, wakati uhalisia hauko hivyo.
Hapaswi ? Kwa kuongea trash zaidi ya mara moja?
kuna namna ya kuongelea uhalisia ila si kwa ku play na maisha ya mama mja mzito, angepotezw maisha au mtoto? Angesema ni utani?
 
Hapaswi ? Kwa kuongea trash zaidi ya mara moja?
kuna namna ya kuongelea uhalisia ila si kwa ku play na maisha ya mama mja mzito, angepotezw maisha au mtoto? Angesema ni utani?
Chalamila si mwanasiasa alichoongea ni perfect kwa hadhara husika, tatizo watu hatujazoea blunt language
 
Chalamila si mwanasiasa alichoongea ni perfect kwa hadhara husika, tatizo watu hatujazoea blunt language
Say who si mwanasiasa wakati jana mwenyewe kajitetea ni siasa?

Kuna time and place ya kuongea such thing si kwa wanancchi kiasi kile, ule ni upumbav wa hali ya ajuu na amezingua period. No excuse

Si mara ya kwanza anaongea kauli mbovu na kuonyesha dharau kwa wananchi
Apunguze ukurupukaji

ana bahati yupo tz watapotezea, nchi zingine leo asingekuwepo ofisini kabisa
 
Kaongea ukweli mchungu,kwani uongo!.
Ila ninaimani labda wanaccm pekee ndo wanapata huduma hizo bule yamkini.

Uhalisia ndo huo,unakuta maiti inayotembea inakurupuka na kulopoka eti Chalamila kazingua.
Paka shume nyie,ukweli ndo huo.Kagonga kama NAPE.
 
exac
Kaongea ukweli mchungu,kwani uongo!.
Ila ninaimani labda wanaccm pekee ndo wanapata huduma hizo bule yamkini.

Uhalisia ndo huo,unakuta maiti inayotembea inakurupuka na kulopoka eti Chalamila kazingua.
Paka shume nyie,ukweli ndo huo.Kagonga kama NAPE.
exactly, maternity care ni expensive, hiyo bure ya ki-socialism, ina compromise quality ya service, matokeo yake high rate ya (maternal na neonatal mortality), ambayo watu huwa wana conclude, simply "Mungu amempenda zaidi"
 
Naona kuna watu wanajaribu kutwist uhalisia wa mambo yalivyo mahospitalini kutokana na aliyoongea mkuu wa mkoa wa Dar, Mhe. Chalamila.

Ila huo ndiyo uhalisia wa mambo ulivyo kwenye mahospitali yote ya umma kuanzia dispensari mpaka hospitali ya taifa.

Zile huduma wanazohubiri wanasiasa kwamba ni bure ni uongo. Hakuna cha bure na mwananchi unatakiwa ulipie.

Ngoja niwape mifano midogo tu:

1. Wanasiasa huwa wanahubiri kwamba wazee wote miaka 60 na kuendelea wanatibiwa bure.

2. Vilevile watoto chini ya miaka 5 wanatibiwa bure.

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

3. Wamama wajawazito nao wanasiasa wanadai wanatibiwa bure.

Ila uhalisia ni kwamba hayo makundi 3 hapo juu msamaha walionao ni gharama ya kufungua faili tu (Consultation fee) ndiyo hawalipii. Lakini gharama zingine zote ikiwemo vipimo, dawa na gharama ya kulazwa/kitanda wanalipia kama kawaida na wanalipa kwa kiwango kilekile kama wagonjwa wengine.

Muhimbili kwa sasa ukijifungua kawaida gharama yake ni 300,000/= na ukijifungua kwa operation gharama ni 700,000/=. Kumbuka hizo ni gharama za kujifungua tu tofauti na gharama zingine kama vipimo na dawa.

Hivyo kwa wale mnaopiga kelele Chalamila kakosea, hajakosea bali ameongea ukweli na uhalisia wa mambo yalivyo, tena mnapaswa mumshukuru kwa kutoboa siri.

Wanaotakiwa kuwajibishwa kwenye hili ni wanasiasa wengine ambao wamekuwa wakidanganya umma kwenye hili jambo, wakati uhalisia hauko hivyo.
Mwanasiasa anatakiwa ajue kuongea vizuri, asipojua hajui kazi yake afukuzwe.

Hata kwenye kuwasilisha ukweli kuna namna ya kuuwakilisha ambayo haikubaliki.
 
Wabongo hawapendi kuambiwa ukweli halafu wanapenda sana vitu vya bure bure. Ni jambo la ajabu watu wanapeana mimba wenyewe kwa starehe zao halafu wanadai serikali iwape huduma za kuzaa bure!
mzee uko vizuri kweli kichwani!?
 
Naona kuna watu wanajaribu kutwist uhalisia wa mambo yalivyo mahospitalini kutokana na aliyoongea mkuu wa mkoa wa Dar, Mhe. Chalamila.

Ila huo ndiyo uhalisia wa mambo ulivyo kwenye mahospitali yote ya umma kuanzia dispensari mpaka hospitali ya taifa.

Zile huduma wanazohubiri wanasiasa kwamba ni bure ni uongo. Hakuna cha bure na mwananchi unatakiwa ulipie.

Ngoja niwape mifano midogo tu:

1. Wanasiasa huwa wanahubiri kwamba wazee wote miaka 60 na kuendelea wanatibiwa bure.

2. Vilevile watoto chini ya miaka 5 wanatibiwa bure.

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

3. Wamama wajawazito nao wanasiasa wanadai wanatibiwa bure.

Ila uhalisia ni kwamba hayo makundi 3 hapo juu msamaha walionao ni gharama ya kufungua faili tu (Consultation fee) ndiyo hawalipii. Lakini gharama zingine zote ikiwemo vipimo, dawa na gharama ya kulazwa/kitanda wanalipia kama kawaida na wanalipa kwa kiwango kilekile kama wagonjwa wengine.

Muhimbili kwa sasa ukijifungua kawaida gharama yake ni 300,000/= na ukijifungua kwa operation gharama ni 700,000/=. Kumbuka hizo ni gharama za kujifungua tu tofauti na gharama zingine kama vipimo na dawa.

Hivyo kwa wale mnaopiga kelele Chalamila kakosea, hajakosea bali ameongea ukweli na uhalisia wa mambo yalivyo, tena mnapaswa mumshukuru kwa kutoboa siri.

Wanaotakiwa kuwajibishwa kwenye hili ni wanasiasa wengine ambao wamekuwa wakidanganya umma kwenye hili jambo, wakati uhalisia hauko hivyo.
Usiseme wanaopaswa kuadhibiwa ni wanasiasa bali ni CHAMA FULL STOP!
 
Back
Top Bottom