Pre GE2025 Chalamila: Mabinti na Vijana wanajiteka wenyewe, taarifa zikifika kwa vyama vingine wanadhani kwamba amani imetoweka!

Pre GE2025 Chalamila: Mabinti na Vijana wanajiteka wenyewe, taarifa zikifika kwa vyama vingine wanadhani kwamba amani imetoweka!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siku moja majirani zako watakufanyia unyama mpaka akili zirejee! Mdomo unaumba! Keep on spelling sh#t one day sh#t will enter your house 😠
 
Ukiwa ccm tu automatically
 

Attachments

  • downloadfile-4.jpg
    downloadfile-4.jpg
    231.5 KB · Views: 3
Wakuu,

Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!

View attachment 3116922
Sura zao hazitoi ushirikiano kabisa....body launguage ya waziri mkuu inaonyesha kila kitu....damu za watu hizo wauaji wanaanza kuweweseka...inawezekana hata haya matukio ya kujiteka kama la kigamboni yako staged na CCM wenyewe kutafata pa kushikia.
 
Wakuu,

Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!

View attachment 3116922
Mmmmh? Mama Samia angalia vizuri vijana Hawa watu wako wanaokusaidia.Watanzania Zaidi ya Milioni 60 hawawezi kukosa weledi wa kuchanganua mambo madogo kama haya.Vinginevyo wanakuchafulia sifa yako nzuri
 
Wakuu,

Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!

View attachment 3116922
Kweli kabisa, Sijui ni kwanini???

Hata yule polis walotangaza kachomwa na vitu akafa huenda nae alikuwa kwenye mpango wa kujiteka ili ionekane nchi haipo salama.

Vijana acheni kujiteka .
 
Wakuu,

Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!

View attachment 3116922
Kwa hiyo Rc anaifunika kwa makusudi habari ya kutekwa kwa kina Soka na mauaji ya Kibao, si ndivyo hivyo?

Hotuba kama hii toka kwa mtu anayeheshimika kwa cheo inakuwaje iwe ya kipuuzi namna hii!

Angelitaka kueleweka, angelianza na ufafanuzi juu ya walipo wapendwa wetu vijana waliotekwa na Polisi kuwa sasa wamepatikana na wemethibitisha wao wenyewe kuwa walijiteka, ndiyo aunganishe na habari hii ya kutia hasira.
 
unaweza jiuliza hivi tumefika vipi hapa mtu kama huyu anakuwa na cheo kikubwa hivi?
KUna siku nilikua na mzeetukabishana sana kuhusu huyu mkuu wa mkoa. Kitu pekee nilicho conclude hapa wa kumlaumu ni aliyemteua
 
Back
Top Bottom