Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaweza jiuliza hivi tumefika vipi hapa mtu kama huyu anakuwa na cheo kikubwa hivi?
Sura zao hazitoi ushirikiano kabisa....body launguage ya waziri mkuu inaonyesha kila kitu....damu za watu hizo wauaji wanaanza kuweweseka...inawezekana hata haya matukio ya kujiteka kama la kigamboni yako staged na CCM wenyewe kutafata pa kushikia.Wakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
Kuna watu wanafikili wataendelea kubaki kama walivyo?Mungu yuko kazini zipo nyakati ngumu kwao zitafika ,Wakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
Ndio maana kuna hukumu siku ya hukumu.Wakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
Ulitaka uwe wewe nyambaf!!unaweza jiuliza hivi tumefika vipi hapa mtu kama huyu anakuwa na cheo kikubwa hivi?
Mmmmh? Mama Samia angalia vizuri vijana Hawa watu wako wanaokusaidia.Watanzania Zaidi ya Milioni 60 hawawezi kukosa weledi wa kuchanganua mambo madogo kama haya.Vinginevyo wanakuchafulia sifa yako nzuriWakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
WendawazimuWakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
Wakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
Kweli kabisa, Sijui ni kwanini???Wakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
Hapo ndio anaona amewapoteza watu maboya ile mbaya.Wakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
Kwa hiyo Rc anaifunika kwa makusudi habari ya kutekwa kwa kina Soka na mauaji ya Kibao, si ndivyo hivyo?Wakuu,
Wanasema watu wanajiteka huku hamna tishio lolote nchini la watu kujiteka! CCM mnataka kuzidisha watu hasira zaidi ya hivi hali ilivyo sasa!
View attachment 3116922
KUna siku nilikua na mzeetukabishana sana kuhusu huyu mkuu wa mkoa. Kitu pekee nilicho conclude hapa wa kumlaumu ni aliyemteuaunaweza jiuliza hivi tumefika vipi hapa mtu kama huyu anakuwa na cheo kikubwa hivi?