Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Hivi unahisi Tanzania ya Leo ni sawa na miaka ya 60? Unapokuja kulazimisha hospitali za Umma zianzishe utaratibu wa kuchangisha pesa kinyume na miongozo ya afya una maana Gani?
Kuna huduma zinazolipiwa na zipo huduma ambazo kutokana na umuhimu wake serikali imeona zitolewe Bure. Wewe kwa ukaona Kila mtu aweke utaratibu wake kisa wewe na familia Yako tunawalipia Kila kitu kwa kodi zetu ila mama mjamzito unamtaka alipe pesa.
Kuna huduma zinazolipiwa na zipo huduma ambazo kutokana na umuhimu wake serikali imeona zitolewe Bure. Wewe kwa ukaona Kila mtu aweke utaratibu wake kisa wewe na familia Yako tunawalipia Kila kitu kwa kodi zetu ila mama mjamzito unamtaka alipe pesa.