Chalamila: Wafanyabiashara Kariakoo hamkupaswa kwenda CCM

Chalamila: Wafanyabiashara Kariakoo hamkupaswa kwenda CCM

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000

1720775925821.png

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ipo, mlipaswa kuja hapa kwa kuwa ndio tunaolisimamia na siyo huko mlikokwenda," amesema Chalamila.

Wafanyabiashara hao zaidi ya 800 jana Alhamisi Julai 11, 2024, waliandamana kutoka Uwanja wa Mnazi Mmoja kwenda ofisi za CCM Lumumba, kupinga kuondolewa kwa wafanyabiashara waliokuwa sokoni hapo kabla halijaungua Julai 2021.

Pia soma: DC Ilala awatuliza wafanyabiashara Kariakoo, kukutana na Chalamila kesho

Walichukua uamuzi huo baada ya kupinga utaratibu Shirika la Masoko Kariakoo kutenga siku tatu kuanzia jana kuhakiki majina yao ambao hawapo kati ya yale yaliyotangazwa.

Mara baada ya kufika ofisi hizo za CCM kufikisha ujumbe hao, viongozi wa chama hicho tawala waliwaeleza watulie baada ya kuwa wanaimba nyimbo mbalimbali na kufunga barabara.
 

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ipo, mlipaswa kuja hapa kwa kuwa ndio tunaolisimamia na siyo huko mlikokwenda," amesema Chalamila.​

Wafanyabiashara hao zaidi ya 800 jana Alhamisi Julai 11, 2024, waliandamana kutoka Uwanja wa Mnazi Mmoja kwenda ofisi za CCM Lumumba, kupinga kuondolewa kwa wafanyabiashara waliokuwa sokoni hapo kabla halijaungua Julai 2021.​

Walichukua uamuzi huo baada ya kupinga utaratibu Shirika la Masoko Kariakoo kutenga siku tatu kuanzia jana kuhakiki majina yao ambao hawapo kati ya yale yaliyotangazwa.​

Mara baada ya kufika ofisi hizo za CCM kufikisha ujumbe hao, viongozi wa chama hicho tawala waliwaeleza watulie baada ya kuwa wanaimba nyimbo mbalimbali na kufunga barabara.​

Wafanyabiashara hao siyo wajinga. Wanajua kuwa tatizo ya mambo mengi nchini ni CCM kama ilivyo kwa maeneo ambayo serikali inafanya vizuri ni kwa sababu ya CCM.
 
Tunasubiri kuona atachukua maamuzi gani kwa wale wa Simu 2000 aliowaahidi kumaliza kero zao kesho Jumamosi
 
We zombieeeee.....

na Simba la masimba dangote....

S 2 kizzy baby.....

haujui.... Simba la masimba dangote.

koma sava koma sava
Koma sava koma sava

zombie hizi beats hazipigwagi
Zombie hizi beats hazipigwagi

😃😃😃😃😃🎵🎵🎵🎵
 
Kiukweli kuna muda maji yanakuwa shingoni kama Rc chalamila kwa muda huu sijui kama anapata usingizi bila kupiga hata ka konyagi kadogo maama si kwa mishe mishe hii
 
Kwenye ule mkutano na majaliwa , kuna mmoja alikua anaongea akasema, "chama chetu hiki"
 

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ipo, mlipaswa kuja hapa kwa kuwa ndio tunaolisimamia na siyo huko mlikokwenda," amesema Chalamila.

Wafanyabiashara hao zaidi ya 800 jana Alhamisi Julai 11, 2024, waliandamana kutoka Uwanja wa Mnazi Mmoja kwenda ofisi za CCM Lumumba, kupinga kuondolewa kwa wafanyabiashara waliokuwa sokoni hapo kabla halijaungua Julai 2021.

Pia soma: DC Ilala awatuliza wafanyabiashara Kariakoo, kukutana na Chalamila kesho

Walichukua uamuzi huo baada ya kupinga utaratibu Shirika la Masoko Kariakoo kutenga siku tatu kuanzia jana kuhakiki majina yao ambao hawapo kati ya yale yaliyotangazwa.

Mara baada ya kufika ofisi hizo za CCM kufikisha ujumbe hao, viongozi wa chama hicho tawala waliwaeleza watulie baada ya kuwa wanaimba nyimbo mbalimbali na kufunga barabara.
Ndugu yangu Chalamila , Muhongo sana ,yeye kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa ,hakujua kwamba wapo watu wanaenda ofisi ya ccm ?

CHALAMILA namuongeza kwenye list ya wale nitakutana nao huko Mbinguni nikiwa kama nyampala , watajuta

Wengine
JMK
TULIA
NCHEMBA N.K
SSH
MPANGO
MWENDA ZAKE

MUNGU NIPE MWISHO MWEMA
 
Sasa kama ulitishia kuleta wanajeshi Kutoka Kongo waje wawashughulikie,

Unataka waende wapi?
 
Uongozi usiposimamiwa na sheria na taratibu tutegemee haya Kwa sana!! Sasa mpangilio wa soko unasemaje, tusiende kujifunza Rwanda bila kuiga wao wamewezaje!?
 
Alitaka waende chadema 😄

Hao wafanyabiashara washajuwa humo kwenye soko jipya hawana chao,washapigwa do--- la ----

Ova
 
Sema Cute Wife una akili...

You reason behind the scenes.
Ile ya jana ni drama. Mwishoni yalicheza wimbo wao. Achana nao.
 
Napenda na niombe serekali ya mkoa kwa kushirikiana na masoko!,
WALE WALIOKUWEPO KATIKA SOKO LILILOUNGUA AWALI, WAPEWE KIPAUMBELE, NA IKIWEZEKANA WAPEWE GRACE PERIODS ZA KUFANYA BIASHARA BILA MALIPO KWA SIKU 180, KAMA KIFUTA JASHO!, BAADA YA ENROLMENT YA WAZAMANI KUKAMILIKA, KWA UFASAHA, SASA WAGENI NA WAHITAJI WAPYA WASIKILIZWE NA KUPANGIWA VIZIIMBA!
[[[ALAMSIKI]]]
 
Back
Top Bottom