Smart Luke kwanza weka picha tuone chale zenyewe zilivyo halafu ndio tukushauri namna gani utaweza kuzifuta, lakini pia wasiliana na mganga aliyekuchanja hizo chale anaweza kuwa anajua namna ya kuzitoa pia.
Smart Luke kwanza weka picha tuone chale zenyewe zilivyo halafu ndio tukushauri namna gani utaweza kuzifuta, lakini pia wasiliana na mganga aliyekuchanja hizo chale anaweza kuwa anajua namna ya kuzitoa pia.
Huu ni ushauri mbaya aidha kwa makusudi au kwa kutojua
Chale au makovu yoyote mwilini huondolewa na dawa maalum iitwayo scars remover na ni maarufu siku hizi kwa hawa watu wanaodili na tattoos