Kama challenge inavyosema
Tafadhari tupia saa uliyovaa kwa sasa mkononi tuone.
Nb hatupo hapa kudharau au kuangalia gharama na kukejeli wengine.
N:B picha hii ya juu ni kwa hisani ya mtandao sina umiliki wowote..
Hata kama una goroka kama yangu usione aibu ndipo kamba yako ilipoishia. ππ