Challenge ya 2011; matches na results

:whoo::whoo::target::target::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
 
Last time kubeba chalenge ilikuwa '94 na mziray, tubebe kombe kumuenzi
 
Njoja nikajipongeze! Hongereni waTZ wenzangu
 
kijana ngasa nadhani atakosa final maana ana njano mbili kama sikosei
 
Njoja nikajipongeze! Hongereni waTZ wenzangu


yeah thats a job well done, waganda ni wazuri sana kwenye penalty, pale ni umahiri wa Kaseja ndo umesaidia manake kacheza penalty moja...umakini wa wachezaji wetu pia umesaidia

sasa hapo fainali ndo sijui itakuwaje
 
jamani hapa arusha wapi wanauza bia kwa bei ya wakulima. Kuna sehemu tulikuwa tunaangalia mpira bia moja sh 2,500 mwee
 
mara ya mwisho kwa kili kuingia kwenye fainali CECAFA ni mwaka gani?
 
Finali mkwere akija uwanjani sijui itakuwaje sijui azuiwe asije
 
jamani hapa arusha wapi wanauza bia kwa bei ya wakulima. Kuna sehemu tulikuwa tunaangalia mpira bia moja sh 2,500 mwee

msiwape pesa makaburu kupitia vinywaji vyao,.... hiyo 2,500/= inaitwa acha bia kunywa kahawa
 
Hongera kilimanjaro stars, hakika ushindi ni wetu. Kombe mlimani kili
 
tuombe mtoto wa mkulima ndio awe mgeni wa heshima fainali jamani tujitahidini juu ya hili
 
Hv 5yrs ya maximo tatizo lilikuwa nini

mi nadhani anazidiwa tactics (mbinu) na huyu wa sasa babu Poulsen coz huyu kocha baada ya game ya kwanza kugundua washambuliaji ni tatizo akaanza kutumia viungo na hakulazimisha hiyo hali ya kuendelea kutumia washambuliaji kwenye kufunga magoli hata kama hawawezi , hii kitu imemsaidia sana hasa kwenye zile game mbili za kwenye kundi. Nachompendea kingine ni kuwa kama mtu hafai huwa anaweka pembeni mpaka utakopoonyesha kumlidhisha ndio anakurudisha kwenye first eleven yake, mf huyu Mwaikimba aliwika sana friend game ya maandalizi baada ya kufunga bao lakini baada ya game ya kwanza kwenye mashindano haya akaona jamaa bado hajaiva, then akawa msugua bench mpaka leo ndo nimeona amerudi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…