Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demu kanijibu "unafirwa nini, unataka kunilewesha mvinyo kisha unichomee nywele zangu na mshumaa, na ushindwe kwa jina la Yesu"
Pisi inakutukana hivyo? Nawewe umetuliaDemu kanijibu "unafirwa nini, unataka kunilewesha mvinyo kisha unichomee nywele zangu na mshumaa, na ushindwe kwa jina la Yesu"
Yaani sielewi nimemkosea nini mpaka hivi sasa.
Naona sasa utoto unaanza kuzidi humu ndani. Nyie ndo mnaofanya vijana tunazidi kutukanwa huko twitter na viongozi wakubwa
Nilitulia kwa mshangao na mimi siamini katika kupiga wanawakePisi inakutukana hivyo? Nawewe umetulia
Pole sana ila huyo ke hakuheshimu tena kwa tusi hilo ata ungemuwasha kofi moja ni haki yake.Nilitulia kwa mshangao na mimi siamini katika kupiga wanawake