They have moved out of their country to other East African countries and they live in peace. If others go to South Sudan they are harassed and even killed. There have been many reports of drivers from other countries shot and killed.
They have moved out of their country to other East African countries and they live in peace. If others go to South Sudan they are harassed and even killed. There have been many reports of drivers from other countries shot and killed.
Afrika ya kusini isingekuwa huru kama siyo kelele za kutoka ndani ya Afrika lakini angalia leo wanavyowatendea waafrika waliotoka nchi za jirani. Tuna gonjwa la kudhani kuwa matataizo yetu husababishwa na "kulogwa" na majirani zetu hivyo kuwachukia majirani hao badala ya kutaka tusaidiane!