Husninyo dear;
Kwanza nashukuru kwa kushare experience yako, imetusaidia sana na sisi ambao relatively ni wageni hapa. So far nimetoa contact zangu kwa only one person na sitarudia tena; asante kwa warning hasa ya hao wanaojifanya wanawake kumbe ni wanaume!
I real wish tungejuana zaidi ya hapa; but it's life na l think this way ni nzuri zaidi!
Ukija kuvingine, pls may l still be ur friend?
naahisi you is also in the same boatWewe ndio unaonekana una frustuations; mdada wa watu amekuwa mstaarabu na kuaga, kuliko tungeanza kufikiri amefariki kama ambavyo anamfikiria rafiki yake kwenye challenge D if lm not mistaken!
Mamboz?, leonataka kushare nanyi changamoto nilizokumbana nazo tangu nimejoin jf. Binafsi naaminichangamoto zinasaidia kutujenga kiakili na binadamu wote tunapitia challengestofautitofauti. Challenges nilizokumbana nazo humu zimenifanya kuwa mtu makinizaidi hivyo sina budi kushukuru kwa yote yaliyonikuta. Labda niende moja kwa moja kwa kile natakakushare nanyi then nitachukua fursa kuagana rasmi. Challenges zote zimesababishwa na watu ingawainawezekana na mimi nimechangia kwa namna moja au nyingine.
A.Challenge.
Nilimzoeahuyu mtu humu humu nilijua tutakuwa marafiki wazuri wa kushauriana na hatakupiga story ila sikuamini kuwa huyu mtu ni KUWADI (Alinitafutia mwanaume). Sikupenda hayo mambo na mwisho wa sikutumekuwa maadui.
B.challenge
Nilimchukulia kama ndugu yangu, nilikuwa kimbilio lake kila alipohitajiushauri. Nilimshirikisha pia baadhi ya mambo yangu, hatukuwahi kugombana hatakidogo. Rafiki huyu aliniambia ana shida ya pesa (nimkopeshe). Nilichukulia shidayake ni yangu, husninyo nikavunja kibubu
Dahhhh, sahivi hatuwasiliani tena, hapigi wala hatumi msg , nimeshapigwakalenda mpaka nimechoka na sina matumaini tena ya kulipwa pesa yangu. Imeniumiza
C. Challenge
Hii ilihusu rafiki yangu niliyekutana nae humu, alikuwa nirafiki mzuri ila sahivi sipo nae tena. Tulikuwa tukisalimiana kwa pm na kusharemawili matatu. Huyu rafiki amepotea ghafla JF, sijui kama amekufa au lah maanamwaka unakatika sasa. Hii inanihuzunisha sana.
D. Challenge
Huyu nae nilifikiri ni kijana mwenzangu , tukapanga kuonana kwa nianjema. Dah, sikuamini kama ni kibabu tena karibia mara 3 ya umri wangu. Kibabu hiki baada ya pale kimeanza usumbufukinataka tu DO. Tumeishia kugombana nahatuna mawasiliano tena.
E. challenge
Huyu alikuwa ni msumbufu sana kwenyePMs. Tumesumbuana mwisho wa siku akakata tamaa. Muda si mrefu alibadili IDakawa anatumia ya Kike, watu wote mpaka sasa wanajua ni mwanamke na kabla ya hapo pia walikuwa wanajua ni mwanaume. Nashindwakuelewa ni mwanamke au mwanaume.
F. challenge
Huyu nae alikuwa ni rafiki ingawa sikupenda mazoe naeya ukaribu. nilishindwa kuelew alikuwa ananipeleleza au lah, aliniomba nambayangu nikamnyima, baada ya wiki ananipigia na kudai yeye ni ( ..) wa JF, sikupenda hiyo kitu.
Najua wapinimekosea. Nataka kuzaliwa upya. Nimedecide kuchange maisha yangu ya kimtandao. Najua nina familyhapa: Mtambuzi- baba, mamdenyi-mama, kaizer-uncle, ashadii-aunt,cantalisia-sister, mwali-cousin, dark city & asprin mababu, sweetlady-swahibana nipo na marafiki kibao pamoja na mashemeji (mnajijua.) My online husband judgement, nitakumiss sana ilanimekuruhusu uoe mke mwingine maana najua maisha ya usingle hautoyaweza. lol
Nitakuwa nanyikwa siku tatu kuanzia leo kujibucomments zenu then nitomba PARMANENT BAN kutoka kwa mods. Nitakuwa nasomahabari (najua humu ni kisima cha habari) kama guest na nitajoin tena miakaijayo ingawa kwa kipindi hicho sitokuwa the same husninyo as akili yangu itakuwaya kiutu uzima zaidi.
Nafikiri mtakuwammejifunza kitu kwenye hii thread pia nitakuwa nimeondoa maswali ya watukujiuliza kwa nini nimekuwa banned. Wale members wenzagu wa JE saccostutakutana kwenye vikao au ofisini kwenye kuchukua na kurudisha mikopo, waleambao tayari tumekuwa na mahusiano mazuri nje ya jf tutakeep in touch, waleambao tulipanga kuonana na kufahamiana nawapa pole (haitowezekana tena). Nawatakiakila la heri na mungu awalinde. Nawapenda sana.
Aisee mtake razi mjukuu wangu na queen bikira Husninyo. Kabinti kalivo karembo hata mimi babu yake nikikaona lazima biology yangu istuke! Atakaye kachumbia, tukutane kwenye mahari.... Asipofika bei naoa mwenyewe manina.but na hao watu wakisema their side of stories....tunaweza kubaki mdomo wazi
mfano huyo kibabu
inaweza kuwa na Husninyo alimjaza sifa za uwongo.....
ohhh niko kama Beyonce only more sexy......kibabu cha watu kikauza mashamba huko
kwenda kumuona Husninyo....akakuta labda the younger version ya bi kidude lol
ni upepo tu............Aisee mtake razi mjukuu wangu na queen bikira Husninyo. Kabinti kalivo karembo hata mimi babu yake nikikaona lazima biology yangu istuke! Atakaye kachumbia, tukutane kwenye mahari.... Asipofika bei naoa mwenyewe manina.
JF ni sehemu ya kipekee ambayo kama mtu hujui hatari za mtandaoni ni rahisi kujikuta sehemu usiyoitegemea.Humu kuna wanaopiga wake zao kila siku lkn wakiwa hapa watalaani wanaume wanaopiga wake zao,kuna waliooa na wanawatoto lkn siku zote wakiwa hapa watapozi kama single men,humu kuna mashoga na wasagaji lkn wakiwa hapa watalaani hivyo vitendo,humu kuna wavivu wasipenda kujishughulisha wanaringia mali za kaka lkn wakiwa humu posts zao ni zaweza kuwa za maana kiasi ukadhani ni watu wa maana kama vitu wanavyoviandika,kuna wengine tunajifanya tumeokoka kumbe tunatype huku mkono mmoja umeshika red wine.Pia hapa JF kuna tuna utamaduni wetu fulani wa kumjua na kumpicture mtu kutokana na posts zake,kama anaonekana wa maana kutokana na vitu vya maana anavyoandika na hii inawafanya wengi tujisahau na kujikuta tunawaamini kiasi cha kuwaleta hawa watu katika maisha yetu ya kweli,mwisho wake ndo hivi vilio.JF siku zote itabaki kuwa salama kwa wenye kujua nini hatari za kwenye mitandao na siku zote itakua ni sehemu ya hatari kwa wanaodhani wanadamu wa JF ni tofauti na wanadamu wa kwenye mitandao mingine.interesting......
ni kama jf ina watu with all type of craziness hivi kumbee....
Mamboz?, leonataka kushare nanyi changamoto nilizokumbana nazo tangu nimejoin jf. Binafsi naaminichangamoto zinasaidia kutujenga kiakili na binadamu wote tunapitia challengestofautitofauti. Challenges nilizokumbana nazo humu zimenifanya kuwa mtu makinizaidi hivyo sina budi kushukuru kwa yote yaliyonikuta. Labda niende moja kwa moja kwa kile natakakushare nanyi then nitachukua fursa kuagana rasmi. Challenges zote zimesababishwa na watu ingawainawezekana na mimi nimechangia kwa namna moja au nyingine.
A.Challenge.
Nilimzoeahuyu mtu humu humu nilijua tutakuwa marafiki wazuri wa kushauriana na hatakupiga story ila sikuamini kuwa huyu mtu ni KUWADI (Alinitafutia mwanaume). Sikupenda hayo mambo na mwisho wa sikutumekuwa maadui.
B.challenge
Nilimchukulia kama ndugu yangu, nilikuwa kimbilio lake kila alipohitajiushauri. Nilimshirikisha pia baadhi ya mambo yangu, hatukuwahi kugombana hatakidogo. Rafiki huyu aliniambia ana shida ya pesa (nimkopeshe). Nilichukulia shidayake ni yangu, husninyo nikavunja kibubu
Dahhhh, sahivi hatuwasiliani tena, hapigi wala hatumi msg , nimeshapigwakalenda mpaka nimechoka na sina matumaini tena ya kulipwa pesa yangu. Imeniumiza
C. Challenge
Hii ilihusu rafiki yangu niliyekutana nae humu, alikuwa nirafiki mzuri ila sahivi sipo nae tena. Tulikuwa tukisalimiana kwa pm na kusharemawili matatu. Huyu rafiki amepotea ghafla JF, sijui kama amekufa au lah maanamwaka unakatika sasa. Hii inanihuzunisha sana.
D. Challenge
Huyu nae nilifikiri ni kijana mwenzangu , tukapanga kuonana kwa nianjema. Dah, sikuamini kama ni kibabu tena karibia mara 3 ya umri wangu. Kibabu hiki baada ya pale kimeanza usumbufukinataka tu DO. Tumeishia kugombana nahatuna mawasiliano tena.
E. challenge
Huyu alikuwa ni msumbufu sana kwenyePMs. Tumesumbuana mwisho wa siku akakata tamaa. Muda si mrefu alibadili IDakawa anatumia ya Kike, watu wote mpaka sasa wanajua ni mwanamke na kabla ya hapo pia walikuwa wanajua ni mwanaume. Nashindwakuelewa ni mwanamke au mwanaume.
F. challenge
Huyu nae alikuwa ni rafiki ingawa sikupenda mazoe naeya ukaribu. nilishindwa kuelew alikuwa ananipeleleza au lah, aliniomba nambayangu nikamnyima, baada ya wiki ananipigia na kudai yeye ni ( ..) wa JF, sikupenda hiyo kitu.
Najua wapinimekosea. Nataka kuzaliwa upya. Nimedecide kuchange maisha yangu ya kimtandao. Najua nina familyhapa: Mtambuzi- baba, mamdenyi-mama, kaizer-uncle, ashadii-aunt,cantalisia-sister, mwali-cousin, dark city & asprin mababu, sweetlady-swahibana nipo na marafiki kibao pamoja na mashemeji (mnajijua.) My online husband judgement, nitakumiss sana ilanimekuruhusu uoe mke mwingine maana najua maisha ya usingle hautoyaweza. lol
Nitakuwa nanyikwa siku tatu kuanzia leo kujibucomments zenu then nitomba PARMANENT BAN kutoka kwa mods. Nitakuwa nasomahabari (najua humu ni kisima cha habari) kama guest na nitajoin tena miakaijayo ingawa kwa kipindi hicho sitokuwa the same husninyo as akili yangu itakuwaya kiutu uzima zaidi.
Nafikiri mtakuwammejifunza kitu kwenye hii thread pia nitakuwa nimeondoa maswali ya watukujiuliza kwa nini nimekuwa banned. Wale members wenzagu wa JE saccostutakutana kwenye vikao au ofisini kwenye kuchukua na kurudisha mikopo, waleambao tayari tumekuwa na mahusiano mazuri nje ya jf tutakeep in touch, waleambao tulipanga kuonana na kufahamiana nawapa pole (haitowezekana tena). Nawatakiakila la heri na mungu awalinde. Nawapenda sana.
Aisee mtake razi mjukuu wangu na queen bikira Husninyo. Kabinti kalivo karembo hata mimi babu yake nikikaona lazima biology yangu istuke! Atakaye kachumbia, tukutane kwenye mahari.... Asipofika bei naoa mwenyewe manina.
naahisi you is also in the same boat
Husninyo dear;
Kwanza nashukuru kwa kushare experience yako, imetusaidia sana na sisi ambao relatively ni wageni hapa. So far nimetoa contact zangu kwa only one person na sitarudia tena; asante kwa warning hasa ya hao wanaojifanya wanawake kumbe ni wanaume!
I real wish tungejuana zaidi ya hapa; but it's life na l think this way ni nzuri zaidi!
Ukija kuvingine, pls may l still be ur friend?
kamanda mbona badala ya kumwambia abaki unafurahia!
Kumbe ishu unataka kuoa mwenyewe? Hahahaha
JF ni sehemu ya kipekee ambayo kama mtu hujui hatari za mtandaoni ni rahisi kujikuta sehemu usiyoitegemea.Humu kuna wanaopiga wake zao kila siku lkn wakiwa hapa watalaani wanaume wanaopiga wake zao,kuna waliooa na wanawatoto lkn siku zote wakiwa hapa watapozi kama single men,humu kuna mashoga na wasagaji lkn wakiwa hapa watalaani hivyo vitendo,humu kuna wavivu wasipenda kujishughulisha wanaringia mali za kaka lkn wakiwa humu posts zao ni zaweza kuwa za maana kiasi ukadhani ni watu wa maana kama vitu wanavyoviandika,kuna wengine tunajifanya tumeokoka kumbe tunatype huku mkono mmoja umeshika red wine.Pia hapa JF kuna tuna utamaduni wetu fulani wa kumjua na mupicture mtu kutokana na posts zake,kama anaonekana wa maana kutokana na vitu vya maana anavyoandika na hii inawafanya wengi tujisahau na kujikuta tunawaamini kiasi cha kuwaleta hawa watu katika maisha yetu ya kweli,mwisho wake ndo hivi vilio.JF siku zote itabaki kuwa salama kwa wenye kujua nini hatari za kwenye mitandao na siku zote itakua ni sehemu ya hatari kwa wanaodhani wanadamu wa JF ni tofauti na wanadamu wa kwenye mitandao mingine.
Pole Husninyo na asante kwa kushare .
...Mie kuna watu nimefahamiana nao hapa kwa kweli ni watu poa sana tumekuwa marafiki wa karibu mno, lakini inabidi uwe muangalifu kupita kiasi kumchunguza mtu kabla hujampa contacts zako hata mashushu humu wamo wanataka kujua kila kitu chako umezaliwa lini, unaitwa nani, unaishi wapi, una watoto wangapi umeoa au bado bachelor. Nimeshaulizwa maswali haya na akina dada ambao walidai ni wazuri sana wanataka uhusiano na kama tukija kuonana basi nitafurahia maamuzi yangu ya kuwafahamu...Dah! akili mkichwa!!! nikafuta pms zao bila hata kujibu.