Chalz Baba: Sikuwahi kumtongoza Wema Sepetu, anajipeleka mwenyewe siyo demu kabisa yule

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Rais wa Mashujaa Band Charles Gabriel aka Chalz Baba ameibuka baada ya kuuliza swali na mwandishi wetu kuhusu ni nani alianza kumtongoza mwenzake hadi kuanza mahusiano yenu.
Chalz Baba alifunguka hivi “Sikuwahi kumtongoza bali nilikuta nimesha-date nae hata hivyo kwa mwanaume anaye mtongoza Wema hana kazi, coz mimi siamini kama Wema anatongozwa naamini huwa tu anaenda mwenyewe ahahaaahaahah yule siyo demu kabisa duh! asijisifu kuwa nilishawahi kumtongoza unanionaje kwanza nina jina kubwa bwana watu wanajileta wenyewe.” Chalz.

 
Reactions: prs
Chalz baba naye Lofa eti alijikuta tu ameshadate naye ilikuwa kwenye ndoto?? au walikutana uwanja wa fisi?? maana tofauti na hapo lazima kuna process tu ilifanyika
 
Mnh jamani na yeye ni nini kilimpeleka kwa wema kama na yeye sio mlupo
Akubali tu apo ilikua ngoma droo hamna aliyemzidi mwenzie
 
Khanithi na khanitha ni maneno yenye maana moja ila yanatumika kwa jinsia tofauti..!
 
uyo jamaaa hovyo kabisa,nilimbukeni wakutupwa asiyejua afanyalo,au siye huyu aliekuwa anazubaa airport kumsubilia wema atue kutokea marekani??bila mafanikio alikuwa amekufa ameoza kwa wema leo amajiona lijali..ptu
 
Kweli wema simwa kutongoza babuuuu...yaaani unatongoza wema afu akina zubeda tuwafanyaje.?
 
uyo jamaaa hovyo kabisa,nilimbukeni wakutupwa asiyejua afanyalo,au siye huyu aliekuwa anazubaa airport kumsubilia wema atue kutokea marekani??bila mafanikio alikuwa amekufa ameoza kwa wema leo amajiona lijali..ptu
Kapotea anataka kurudi upya aliachwa kwenye mataa hahahaa kuachwa inauma,
 
Hehee 😀 Chaaazz mpaka leo inauma? Samehe bana..

Kibuti kibaya aseee..😉
 
Huyu jamaa si ndio kazaa na kale kasichana mapepe Husna sajent sijui.
 
Mbona sipati muunganiko a.k.a chemistry hapa...hebu mwenye info zaidi afunguke...Wema kwa baba Charles......mmmmmhhhh......iliconnect vipi ? coz hata kama kweli Wema ni mtongozaji basi kwa vyovyote atakuwa anawalenga "wanaouza"...watakaoosha nyota yake kwa jina na maslahi.

Sasa Wema alipagawishwa na nini kwa jamaa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…