Kinachoonekana sasa,mchezaji huyu yuko tayari kucheza yanga hata bure.Simba msijaribu kwa namna yoyote kumshawishi abaki Simba.
Kuna machawa kama mwijaku wameanza ujinga eti chama arudi ama kocha aingie kwenye mfumo wa chama.Huu ni upuuzi mkubwa sana.
Chama tunamheshimu,ila kwa sasa ni kama hatuheshimu sisi mashabiki wa Simba.Hatuna budi kukubali kwani yeye si mchezaji wa milele Simba.
Kuna machawa kama mwijaku wameanza ujinga eti chama arudi ama kocha aingie kwenye mfumo wa chama.Huu ni upuuzi mkubwa sana.
Chama tunamheshimu,ila kwa sasa ni kama hatuheshimu sisi mashabiki wa Simba.Hatuna budi kukubali kwani yeye si mchezaji wa milele Simba.