Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Sidhani kama ni pressure. Kwa Chama, Yanga wamekuwa wakimuhitaji sana ila wakawa wanashindwa kumpata. Labda safari hii watafanikiwaMsichokielewa ni kwamba hiyo ni external pressure ili muendelee kukaa na hao wachezaji wenu, nanyi akili ndogo mnapita mule mule, hivi yanga kweli wanaweza kumsajili kibu d bob marley?
Hahaha! Dah! Muulize Labani og yaliyomkuta.Kila mwaka Uto bin KABWILI wanamsajil mwamba wa lusaka Ccc chama aliyewanyanya uto miaka 4 mfululizo alimstaafisha beki kisiki ninja alimpa mateso makali juma Abdul na kaseke
Metacha ndyo atak kabisa kusikia jina la chama alimchomfanya mpka leo jicho lake halioni vizur
Chama na Simba ni forever🔥🔥🔥🔥
UBUNTU BOTHO
View attachment 3024779
Bahati yako hata wakikupiga hiyo ban, utakuja na ID nyingine. Kinyume na hapo, aisee ungepata tabu sana.Kila mwaka Uto bin KABWILI wanamsajil mwamba wa lusaka Ccc chama aliyewanyanya uto miaka 4 mfululizo alimstaafisha beki kisiki ninja alimpa mateso makali juma Abdul na kaseke
Metacha ndyo atak kabisa kusikia jina la chama alimchomfanya mpka leo jicho lake halioni vizur
Chama na Simba ni forever🔥🔥🔥🔥
UBUNTU BOTHO
View attachment 3024779
Chama hajaachwa bali mkataba umekwishaSidhani kama ni pressure. Kwa Chama, Yanga wamekuwa wakimuhitaji sana ila wakawa wanashindwa kumpata. Labda safari hii watafanikiwa
View attachment 3024789
Yanga ni sawa chama sio kwamba amekwisha Bado anakitu, lakini hitaji kubwa la Yanga ni pure no.9
Balaaa,sisi thimba naona tunaendelea kusajiri lakini.Mpumalelo dube
Nitaenda hadi ofisini kwa max melo kwa ajili ya hili. Mwaka mzima BAN ..mamaeh.
Atakula ndoige[emoji23][emoji23]