Chama alichomo Trump kinaenda kuchukua House au senate ama vyote, Trump anaweza kupewa uspika wa Pelosi, Biden anaenda kuonja joto la impeachment

Chama alichomo Trump kinaenda kuchukua House au senate ama vyote, Trump anaweza kupewa uspika wa Pelosi, Biden anaenda kuonja joto la impeachment

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
images (21).jpeg


Usiende google kucheki matokeo 😂😂 wala cnn , huko hakuna taarifa credible maana ni left wing main strem media, ni haohao walioaminisha umma mpaka dakika ya mwisho 2016 kwamba Trump kashindwa,,, Ukweli ni kwamba kwa sasa hali inavyoelekea Republicans wanaenda kuchukua moja ya mihimili ama miwili.

Kipindi chote hiki Biden alipata mtelezo na kukingwa sana maana house na senate ilikuwa upande wake, hali ya sasa inapoenda kubadilika uraisi unaweza ukawa mchungu sana kwake.

Za chini chini ni kwamba pia Trump anaweza kupewa uspika, Sipati picha Bibi Pelosi atavyokuwa mwekundu usoni kuachia kiti chake cha uspika kumpa Trump 😂😂.

Wanachama wa chama alichomo Trump (Republicans) wana nia nzito sana ya kumu impeach Biden
 
Kwanza tayari imeshaonekana itakuwa vigumu sana kwa Republicans kudhibiti mabunge yote mawili labda Baraza la Wawakilishi lakini Seneti itabaki kwa Democrats.

Marekani ni nchi inayoweka mbele maslahi ya taifa lao kuliko mambo ya vyama ndio maana kipindi Trump alipotaka kuondoa wanajeshi wao Syria walimkatalia na hadi leo wako huko Syria.
 
Ukumbuke US Marais wao hawaendeshi serikali tokea majumbani mwao wakiwa wamegombana na wakezao ,system inanafasi kubwa kuhusu Ukraine -urusi ni takwa la kimarekani kwakua nitakwa lao lazima walimalize nje yahapo tunaweza tukamsahau trump duniani
Atakuwa kama jfk alipotaka kuikacha vita ya Vietnam wakamla kichwa[emoji3061]
 
Ukumbuke US Marais wao hawaendeshi serikali tokea majumbani mwao wakiwa wamegombana na wakezao ,system inanafasi kubwa kuhusu Ukraine -urusi ni takwa la kimarekani kwakua nitakwa lao lazima walimalize nje yahapo tunaweza tukamsahau trump duniani

Haiko hivyo, hiyo ni imani ambayo tumekaririshwa miaka nenda, miaka rudi. Kila rais anaendesha nchi vile anaona inafaa. Na hilo Donald Trump aliliweka bayana.

Kama unakumbuka marekani ikiongozwa na Obama ilikuwa na sera ya ObamaCare. Lkn DT alivyoingia aliikanyagakanya na kuitupilia kule. Na si hilo tu, mambo mengi sana, hususan sera ya mambo ya kigeni ilibadilika sana, nadhani unakumbuka uhusiano wa USA na Afrika.
 
Haiko hivyo, hiyo ni imani ambayo tumekaririshwa miaka nenda, miaka rudi. Kila rais anaendesha nchi vile anaona inafaa. Na hilo Donald Trump aliliweka bayana...
Mi nazungumzia maswala nyeti ya kimkakati achana na Obama care kuhusu familia maskini ,nazungumzia Mambo magumu, huyu trump unayemsema aligomewa kuondoa wanajeshi Syria ndo Mambo nayosema
 
Haiko hivyo, hiyo ni imani ambayo tumekaririshwa miaka nenda, miaka rudi. Kila rais anaendesha nchi vile anaona inafaa. Na hilo Donald Trump aliliweka bayana...
Kuna mambo hayawezi kubadilika hata atawale nani hasa kuhusiana na sera yao ya nje ambayo msingi wake ni kuweka maslahi ya taifa lao mbele.

Marekani haiwezi kuitelekeza Israel hata atawale nani na wala haiwezi kuachana na washirika wake wa jadi hata iweje.
 
Haiko hivyo, hiyo ni imani ambayo tumekaririshwa miaka nenda, miaka rudi. Kila rais anaendesha nchi vile anaona inafaa. Na hilo Donald Trump aliliweka bayana.

Kama unakumbuka marekani ikiongozwa na Obama ilikuwa na sera ya ObamaCare. Lkn DT alivyoingia aliikanyagakanya na kuitupilia kule. Na si hilo tu, mambo mengi sana, hususan sera ya msmbo ya kigeni ilibadilika sana, nadhani unakumbuka uhusiano wa USA na Afrika.
Hayo ni mambo ya Obama care ni Mambo ya ndani ambayo hayana impact sn kwao,

Kuhusu mambo ya nnje ambapo cia ndio mratibu mkuu, amini kauli ya hapo juu Trump akicheza nayo anasahaulika
 
Hayo ni mambo ya Obama care ni Mambo ya ndani ambayo hayana impact sn kwao,

Kuhusu mambo ya nnje ambapo cia ndio mratibu mkuu, amini kauli ya hapo juu Trump akicheza nayo anasahaulika

Come 2024, Trump is a president. Who can deny this.
 
Kuna mambo hayawezi kubadilika hata atawale nani hasa kuhusiana na sera yao ya nje ambayo msingi wake ni kuweka maslahi ya taifa lao mbele.

Marekani haiwezi kuitelekeza Israel hata atawale nani na wala haiwezi kuachana na washirika wake wa jadi hata iweje.

Haukumbuki USA ya Trump ilitaka kujitoa NATO. Mpaka wazungu wakaanza kumpigia magoti DT.
 
Back
Top Bottom