kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Utopwinyo wanajiharishia tuu...
[emoji1][emoji1][emoji1]Hatuwaogopi wapuuzi nyinyi!!! tuna kikosi kikali tukiongozwa na Fiston Mayare
Chama alifosi kuondoka mwenyeweMpaka leo sikujua kwanini chama aliuzwa yani.
Makolo katika ubora wao. Wachambuzi wamichongo wanaingia king mda si mrefuMsemaji wa simba sc, bwana kamwaga amepost picha hii ya kiti katika page yake ya fb na kuandika 90% soon kitu kinachomaanisha anakwenda kusimamisha mitandao leo lakini inasemekama tayari chama yupo mjini hapa na leo anatangazwa kuwa mchezaji halali wa simba sc jioni ya leo,
Karibu sana clatous chama simba
Kwikwikwikwi....Hatuwaogopi wapuuzi nyinyi!!! tuna kikosi kikali tukiongozwa na Fiston Mayare
Mikia kweli akili ziko matakoni. Hivi kuna kazi mnafanya nyie vijana wa mikia?. Ni kama mnadanganywa hivi kwamba kuanzia asubuhi,usiku unalala unawaza simba tu. Hii ndio BREAKING NEWS utumbo huu?. Nimeona kichwa kikubwa BREKING NEWS. Moyo ukafanya paa na kufurahi kwa mbali kwamba labda nae mwingine amekufa tupumue kidogo. Nakutana na utumbo huu
Kwan Covid-19 bado inawakula hao unaowaombea RIP??Mikia kweli akili ziko matakoni. Hivi kuna kazi mnafanya nyie vijana wa mikia?. Ni kama mnadanganywa hivi kwamba kuanzia asubuhi,usiku unalala unawaza simba tu. Hii ndio BREAKING NEWS utumbo huu?. Nimeona kichwa kikubwa BREKING NEWS. Moyo ukafanya paa na kufurahi kwa mbali kwamba labda nae mwingine amekufa tupumue kidogo. Nakutana na utumbo huu