CHAMA AMESHATUA SIMBA MDA HUU

Ifike wakati yanga waache huu ushamba wa kuchukua wachezaji kibao waliochuja kutoka timu moja, hii inashusha hadhi ligi yetu, sababu ukiiangalia yanga unaweza kudhani unacheza na As vita.
Liverpool ina wachezaji wangapi kutoka Southampton hakuna shida? kuna sheria ina zuia?
 
Tumekubaliana kwa hii SIMBA NI NZURI SANA, kwanini tusajili tena dirisha dogo tena namba ambazo kuna watu makini kama KANOUTE??
 
Mtasajiri mpaka Mtakoma haisaidii kitu.Timu imeshachoka haina pumzi tena

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Chama ana nn cha ajabu/ dalili ya kuchujuka mchezaji yeyote kisoka ni hizi danadana hata hajacheza huko hata nusu msimu karudishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…