CHAMA AMESHATUA SIMBA MDA HUU

Tafuta mahali penye kivuli na hewa ya kutosha ukae mapigo ya moyo yataenda sawa.
 
Banda na Mugalu hawawezi kuachwa
 
Hakuna Kitu Apo Shirikisho Mtatoka Tu Na Huku Ubingwa Yanga Tutachukua [emoji23]
 
mnatia huruma aisee...haya bora chama karudi masononeko yapungue maana timu imekuwa mbov mpk mnarudisha wachezaji
Kwani nyie Makombo mmempeleka au mmemrudisha?? Msivyo na kumbukumbu kama kuku wa mdondo!!
 
Tatizo ni kutojua maana ya kujibu hoja. Hoja hujibiwa kwa hoja.
Wewe badala uweke website ya RS Berkane ku-justify ukweli unaoujua ili kuuanika uwongo, unaleta quiz.[emoji196][emoji196]
 
Hivi inakuwaje kila habari inayoletwa humu hasa hili jukwaa la michezo huwa tunachangia tu bila kutafiti kujua ukweli wake? Hii inamaanisha jukwaa hili linaongoza kwa kujaza watu vilaza?
Wewe mmoja wao.
 
Tumekubaliana kwa hii SIMBA NI NZURI SANA, kwanini tusajili tena dirisha dogo tena namba ambazo kuna watu makini kama KANOUTE??
Kakojoe ulale kumekuchwa mkuu. Huko mnakowazungumzia akina Makusu mbona mnasema kikosi kizuri?
Fikiri kabla ya kuandika siyo kuhemka kwa ushabiki.
 
mlimuuza kwa hasira mmemrudisha kwa kumuomba na magoti juu aisee aliyewaita makolo mbumbumbu hakukosea
Hakuna aliyemwuza kwa hasira bali alilazimisha mwenyewe bado huduma yake ikitakuwa Msimbazi. Wangefanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…