Chama ameshavunja mkataba na Berkane na anakaribia kurudi Simba

Chama ameshavunja mkataba na Berkane na anakaribia kurudi Simba

Swala la kwamba alifanya vizuri alipokuwa akicheza na Al Ahli, Vita nk sio kielelezo kwamba alikuwa mzuri kihivyo.

Leo hii hata Bayern wacheze na Coastal Union au Kagera bado tu kuna wachezaji wa hizo timu wataonekana ni nyota lakini sasa wapereke Ujerumani kama watanyanyua hata mguu uwanjani.

Tunamuona ni mzuri kwa sababu ligi yetu ndio kiwango chake kilivyo lakini akienda kwa wajuaji kutuzidi hana lolote, anabaki kuchoma [emoji535] tu.
Salah alippfeli Chelsea
KDB pia
Lukaku alivyofeli UTD.
Hujifunzi kitu? Au umeamua tu?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Hata Messi alipohamia PSG mambo yalikuwa magumu sana mwanzoni!! Hata sasa hajashika makali yake ya awali.
 
Ondoa utopolo hapa. Hakuna kitu umeongea. Kwani FT9 alipo fail Chelsea ilimaanisha ile ilikua team kubwa kuliko Liverpool na jamaa ni michezaji wa team ndogo? Una dalili zote za kuja kuwa mchawi uzeeni
Mbona mimi ni mzee na sijawa mchawi na sasa nasubiri kufa tu.

Ila ukweli ni kwamba huyo Chama mpira wake ni mdogo sana na ndio maana kafeli huko ni mashabiki wa Simba ndio wanamuinua.
 
Back
Top Bottom