Chama cha Jubilee champitisha MacDonald Mariga kugombea ubunge jimbo la Kibera

Chama cha Jubilee champitisha MacDonald Mariga kugombea ubunge jimbo la Kibera

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwanasoka maarufu nchini Kenya aliyewahi kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya akichez.jpg


Huyu ni yule aliyekuwa mchezaji wa InterMilan ya Italia na Timu ya Taifa ya Kenya , Harambee Stars.

Taarifa zinaonyesha kwamba amewapiku wagombea wengine 16 na amehojiwa na maofisa wa chama kwa zaidi ya masaa matatu kabla ya kupitishwa rasmi .

Jimbo la kibera linajaza nafasi ya mbunge aliyefariki hivi karibuni
 
Back
Top Bottom