Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Sep 3, 2019 #1 Huyu ni yule aliyekuwa mchezaji wa InterMilan ya Italia na Timu ya Taifa ya Kenya , Harambee Stars. Taarifa zinaonyesha kwamba amewapiku wagombea wengine 16 na amehojiwa na maofisa wa chama kwa zaidi ya masaa matatu kabla ya kupitishwa rasmi . Jimbo la kibera linajaza nafasi ya mbunge aliyefariki hivi karibuni
Huyu ni yule aliyekuwa mchezaji wa InterMilan ya Italia na Timu ya Taifa ya Kenya , Harambee Stars. Taarifa zinaonyesha kwamba amewapiku wagombea wengine 16 na amehojiwa na maofisa wa chama kwa zaidi ya masaa matatu kabla ya kupitishwa rasmi . Jimbo la kibera linajaza nafasi ya mbunge aliyefariki hivi karibuni