Uchaguzi 2020 Chama Cha Kijamii(CCK) kimeshindwa kutimiza vigezo vya kisheria kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais

Uchaguzi 2020 Chama Cha Kijamii(CCK) kimeshindwa kutimiza vigezo vya kisheria kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Katika urejeshaji huo simuoni mgombea mwenza akiambatana na mgombea urais.


Nilitarajia kuona mgombea wa kiti cha urais kutoka chama CCK akiambatana na mgombea mwenza. Je inawezekana asiteuliwe?

UPDATE
Rasmi CCK imeshindwa kutimiza vigezo vya kisheria kuteuliwa kugombea nafasi ya urais.

1. Picha za mgombea urais ndg Daudi Mwaijejele zimewasilishwa

2. Picha za mgombea mwenza ndg Ally Saidi Juma kukosekana

3. Mgombea Mwenza kutofika mbele ya Tume.

4. Kutowasilisha stakabadhi ya Tshs Milion 1 .

TAMKO LA TUME
Chama cha CCK imekosa sifa ya kuteuliwa hi yo mgombea nafasi ya Urais ndugu Daudi Mwaijejele na mgombea mwenza ndugu Ally Saidi Juma hawajapitishwa na Tume ya Uchaguzi kugombea nafasi walizoomba

CCK.jpg


JPEG_20200825_162703_5882807754991867890.jpg
 
Chama Cha Kijamii (CCK) kimekuwa chama cha Mbuzi wa Kafara kwa makosa ya kutokulipa ada ya milioni moja pia mgombea mwenza kutokuonekana katika ofisi za TUME hivyo kukosa sifa na kusababisha kuenguliwa!

Swali: Walikuwa hawajui utaratibu wa Mgombea Urais na Mwenza kwenda pamoja?
 
Kwa hali hii, kuna kila dalili Mgombea Urais kupitia Chadema naye kutopitishwa. Iwapo Tume ya Uchaguzi itafanya huu ujinga, hakika demokrasia ya nchi itakuwa imeingia katika majaribu makubwa tu.
 
Washaandaliwa, washapewa kishika uchumba. Nadhani nyingine watalipwa mara tu baada ya uhayawani kukamilika
 
Hawa wanatuandaa kisaikolojia ili baadae iwe reference yao. Movie ya kishamba sana hiyo
 
Back
Top Bottom