Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 181
Kwa mara ya kwanza leo nimepata kusikia kwamba kuna chama cha kutetea abiria pale ambapo mwenyekiti wake alipokuwa anahojiwa TBC1 katika kipindi cha usiku wa habari, alikuwa anahojiwa juu ya tukio la jana (1/5/11) madereva wa mabasi ya kwenda mkoani kugoma.
Swali langu ni kwamba chama hiki kimeanza jana tu au kipo muda mrefu, kama kipo muda mrefu siku zote wako wapi katika kuwaelimisha wananchi juu ya haki na wajibu wa abiria?
Hivi vyama vya utetezi vina dhamira ya dhati kweli katika kuwafikia wananchi au wanatafuta njia za kutoka kimaisha kupitia matatizo ya watu.
Naomba kuwakilisha!
Swali langu ni kwamba chama hiki kimeanza jana tu au kipo muda mrefu, kama kipo muda mrefu siku zote wako wapi katika kuwaelimisha wananchi juu ya haki na wajibu wa abiria?
Hivi vyama vya utetezi vina dhamira ya dhati kweli katika kuwafikia wananchi au wanatafuta njia za kutoka kimaisha kupitia matatizo ya watu.
Naomba kuwakilisha!