Daraja Makofia
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 695
- 905
Madaktari wa Uganda wamelaani vikali kuteswa kwa watuhumiwa wakiwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Kufuatia tukio la kukamatwa Mbunge Bobi Wine na kuteswa na vyombo vya usalama, Madaktari hao wameunda timu ya wataalamu wa figo na upasuaji wa aina zote ili kwenda kumfanyia matibabu ya kina mbunge huyo bure kama Rais Yoweri Museveni ataona inafaa.
Angalia video hapo chini kuona taarifa waliyoitoa kwa vyombo vya habari.
Kufuatia tukio la kukamatwa Mbunge Bobi Wine na kuteswa na vyombo vya usalama, Madaktari hao wameunda timu ya wataalamu wa figo na upasuaji wa aina zote ili kwenda kumfanyia matibabu ya kina mbunge huyo bure kama Rais Yoweri Museveni ataona inafaa.
Angalia video hapo chini kuona taarifa waliyoitoa kwa vyombo vya habari.