Chama cha magirlfriend Tanzania

Chama cha magirlfriend Tanzania

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
50,587
Reaction score
71,492
Chama Cha Magirlfriend Tanzania (CHAMATA), kimetoa tamko lifuatalo, sisi magirlfriend Tanzania, valentine hii hatutaki maua, wala Iphone, wala lunch.

Tunasisitiza maboyfriend wetu siku ya tarehe 14 februari waje wajitambulishe kwa wazazi wetu na kutoa tarehe ya harusi.

Kauli mbiu mwaka huu ni ''Harusi kwanza, zawadi siku ya send off ''

(Mjumbe nimefikisha salamu)
 
Chama cha magirlfriend Tanzania (CHAMATA),,Kimetoa tamko lifuatalo....sisi magirlfriend Tanzania ,valentine hii hatutaki maua,wala Iphone,wala lunch .Tunasisitiza maboyfriend wetu wetu siku ya tarehe 14 februari waje wajitambulishe kwa wazazi wetu na kutoa tarehe ya harusi..kauli mbiu mwaka huu ni harusi kwanza,,zawadi siku ya send off (mjumbe nimefikisha salamu)
Na mgegedo mngeutolea tamko basi
 
Chama cha magirlfriend Tanzania (CHAMATA),,Kimetoa tamko lifuatalo....sisi magirlfriend Tanzania ,valentine hii hatutaki maua,wala Iphone,wala lunch .Tunasisitiza maboyfriend wetu wetu siku ya tarehe 14 februari waje wajitambulishe kwa wazazi wetu na kutoa tarehe ya harusi..kauli mbiu mwaka huu ni harusi kwanza,,zawadi siku ya send off (mjumbe nimefikisha salamu)
Nitawatambulisha wangapi sasa???? Kubalini tuuu hizo lunch na maua nitayowapatia
 
Nawaza ng'ombe wangapi watatakiwa badala ya kadi,ua na vi-bite vya 15,000.
Hapana muhairishe labda mwakani..tunasomeshwa namba mtaani alafu hamna hata huruma.
 
Back
Top Bottom