Uchaguzi 2020 Chama Cha NCCR-Mageuzi kuzindua kampeni Jumamosi tar.5/9/2020 Mbagala Zakhiem

Uchaguzi 2020 Chama Cha NCCR-Mageuzi kuzindua kampeni Jumamosi tar.5/9/2020 Mbagala Zakhiem

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
Chama kikongwe Nchini na maarufu kwa mchakato wa Katiba kinatarajia kuzindua kampeni zake Jumamosi hii jijini Dar es salaam kwa Kishindo kikubwa Sana. Wadau wote mnakaribishwa. Mimi sio msemaji wa chama Ila mdau wa MABADILIKO.

DON NALIMISON
Simu Na: 0682 94 29 01.

Screenshot_20200903-200753.png
 
Wewe jamaa ni mkali Sana wanamuziki wote wa Bongo watasubiri sana!!
 
Back
Top Bottom