Chama cha Umoja wa Wanaume Bahili Tanzania chakosa usajili

lossoJR

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
2,711
Reaction score
2,384
Chama Cha UMOJA wa wanaume bahiri Tanzania(UWABATA) tumekosea kusajiliwa rasmi na kutambukika kisharia kwasababu ya ukosefu wa tsh 20,000 tu.
Chama bado kinashughukia hili suala kwa ukaribu zaidi.

Mwenyekiti
UWABATA
 
Chama Cha UMOJA wa wanaume bahiri Tanzania(UWABATA) tumekosea kusajiliwa rasmi na kutambukika kisharia kwasababu ya ukosefu wa tsh 20,000 tu.
Chama bado kinashughukia hili suala kwa ukaribu zaidi.

Mwenyekiti
UWABATAView attachment 1696882
Mkuu imeshindikana nini kuongea na hao wanaosajili ili watupunguzie angalau ishushwe ifike 10000.. si tunakamati kabisa ya madalali wanaojua kushawishi! Kusema kweli hiyo ishirini hatulipi labda Kama mwenyekiti kakichoka chama tutateua mwengine! Hatuwezi lipa hiyo hela na wakati tunaweza kusave elfu kumi kwa kutumia nyenzo za ushawishi uzuri kiongozi wa kamati ya ushawishi yupo vizuri sasa tusisumbuane.. uongozi uliopo ukizubaa kwenye hili tunawatoa chamani 20000 kubwa bhana alaaa..😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…