Chama Cha Wagonjwa!!!!

Chama Cha Wagonjwa!!!!

Ligogoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2010
Posts
3,503
Reaction score
6,415
Habari wana JF!!

Hii serikali changanya na hawa madaktari wote wametuweka pabaya wale ambao afya zetu zimeyumba kidogo.

Kwa pamoja tushirikiane tuanzishe chama cha kutetea wagonjwa maana kati yao hakuna anayekumbuka maslahi ya mgonjwa wote wanajali ya kwao tu si serikali wala madaktari!!!!

Hebu jiulize, mgonjwa anatetewa na nani???? Hata maslahi yakiboreshwa ile tabia ya kitu kidogo itaachwa??? Watajituma kuokoa maisha yetu???

Chama cha kutetea wagonjwa kinahitajika sasa!!!

Nawasilisha
 
Habari wana JF!!

Hii serikali changanya na hawa madaktari wote wametuweka pabaya wale ambao afya zetu zimeyumba kidogo.

Kwa pamoja tushirikiane tuanzishe chama cha kutetea wagonjwa maana kati yao hakuna anayekumbuka maslahi ya mgonjwa wote wanajali ya kwao tu si serikali wala madaktari!!!!

Hebu jiulize, mgonjwa anatetewa na nani???? Hata maslahi yakiboreshwa ile tabia ya kitu kidogo itaachwa??? Watajituma kuokoa maisha yetu???

Chama cha kutetea wagonjwa kinahitajika sasa!!!

Nawasilisha



Mbona kipo siku nyingi tu,hujawahi kuumwa nini ?!
 
Back
Top Bottom