Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
CCM ni chama ambacho kimejitanabaisha kuwa ni chama cha wakulima na wafanya kazi hata nembo yake ni jembe na nyundo.
Mimi nachelea kuwaongezea kuwa ni chama cha wafanyabiashara pia.
Swali langu ni, je kwa miaka minne iliyopita ni kada ipi imefaidi zaidi na ccm kati ya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara?
Kama watanzania wamegawanyika katika shughuli hizo, je uchaguzi ukifanyika ni yupi kati ya hao anafuraha ya kuchagua CCM?
Tukikumbula awamu zilizopita hasa ya Kikwete Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara wote walikua wanacheka lkn kwa sasa ni mnuno hasa
Nakaribisha mtazamo tofauti!!
Mimi nachelea kuwaongezea kuwa ni chama cha wafanyabiashara pia.
Swali langu ni, je kwa miaka minne iliyopita ni kada ipi imefaidi zaidi na ccm kati ya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara?
Kama watanzania wamegawanyika katika shughuli hizo, je uchaguzi ukifanyika ni yupi kati ya hao anafuraha ya kuchagua CCM?
Tukikumbula awamu zilizopita hasa ya Kikwete Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara wote walikua wanacheka lkn kwa sasa ni mnuno hasa
Nakaribisha mtazamo tofauti!!