mumagoma
Senior Member
- Jan 15, 2014
- 186
- 95
ndugu zangu walimu na chama cha walimu cwt,kuna mwalimu shule moja iliopo makambak0 anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la mauaji,taarifa zilizotufikia toka kwa wana familia Wake zinasema akiwa katika kutekeleza majukumu yake kama ilivyo desturi wanafunzi wakiKUTWA na INATAKIWA uwaadhibu ili kuwakanya wasirudie,siku hiyo haikuwa njema kwa mwal e sanga ambaye mpaka hivi ninavyo sema yupo kwenye MAGEREZA LA MKOA NJOMBE;ALIMWADHIBU mwanafunzi ambaye kwa sasa ni marehemu ,inasemekana huyo mwanafunzi alikufa siku tatu baadae baada ya adhabu ndipo wazazi walikuja juu ktk suala hilo,lakini SHERIA ZINASEMAJE,MTUMISHI WA UMMA AKITENDA KOSA bila kukusudiwa AKIWA KWENYE MUDA WA KAZI mwajiri anatakiwa amkingie kifua kumsaidia maana hajakusudial huyu kama mjuavyo siku hizi watu tunatembea roho zimekufa naamini mwanafunzi yule ilikuwa siku yake mungu amtwae,ninaomba wazazi mumsamehe mwalimuhuyu,cwt tumieni busara zenu kumsaidia mwal huyu,MKURUGENZI msaidie mwajiriwa wako nategemea tutamsaidia mwal huyu E SANGA