WALIMU MNADHALILISHANA WENYEWE, mimi nilikuwa mwl, ni katika fani nzuri sana kufanya kazi, kama uonavyo watu wengi wakitamani kuingia bungeni wapate mishahara mikubwa, tena kwa kujipangia wenyewe ni Bunge, Mprof, Dr, na wataalamu wengi wameingia kule wakitumia usomi wao kama waalimu wa zamani. Prof maana yake ni kuwa ktk taasisi ya elimu ajenge taaluma, lkn kwa shida zinazoikumba elumu ya Tanzania wataaluma wengi wameikimbia fani hiyo.
Chama cha walimu kilipashwa kutetea maisha ya mwl lkn wanakuwa kama sukari inapanda na kushuka, presha inapanda inashuka, wanakosa credibility kuitwa viongozi wa chama. Walimu ni wapole sana, lakini MTAKE MSITAKE wanasikitika matokeo mabaya ya f4-2012 lakini wanachekea moyoni wakisema serikali na mwalimu mjanja au mhuni nani. mwl na serikali wanavutana sana chini kwa chini. Serikali ama bila kujijua ama wakijua wanakiachia chama cha walimu cwt kikiwaburuta walimu
1.benk
2. mwl house project
3.nk
walimu wanafaidika na nini?
mwalimu lazima aamke mwenyewe, ingawa wapo ambao wameamua kuchukua hatua kuingia ktk NGO, Walimu wengi sana wenye uwezo mkubwa sana wamehshamia katika miradi mbali mbali, hata HAKIELIMU wapo, nk