Na bado serikali na chama chao cha walimu kama hawatusikiliz 2tawaonyesha.picha ndy kwanza linaanza
Nikiwa kama mmoja wapo wa walimu wa Tanzania nimefanya uchunguzi asilimia kubwa ya walimu hawakitaki hicho chama kwasababu kiko kwa maslai ya wakubwa na serikali.Sasa kuendelea kutushinikiz kujiunga mnatafuta kuongez matatizo ktk sekta ya elimu.N:B WAZIRI WA ELIMU WALIMU TUNASEMA CHAMA CHA WALIMU HATUKITAKI NAJUA UNAWEZA KUWATETEA LKN WEWE UKO HUKO JUU UNAKULA UPEPO TU NA SISI HUKU CHINI NDY TUNATESEKA,TUNASEMA HATUKITAKI
Mkuu kweli bila CWT mambo hayaendi maana wabunge wamebaki kupigania uccm na uchadema.
wote hapo juu mnao tetea CWT naona ndy mnakula mishahara yetu.
1.Mpk leo kuna walimu wapya hawajapata mishahar yao mmewasaidia vp? kama c kusubiri wakianza kupewa 2 muuanze kukata pesa yao WALIMU TUKATAE HIKI CHAMA.
2.Walimu wapya 2mefika kuripot hakuna mkataba wowote ambao tumewekeana na CWT waanze kukata pesa yangu wao wanakata kwa mkataba upi? kama c unyonyaji
3.Kama mlizoea kuwaliza walimu wa zamani.basi ni hao hao ujio wa walimu wa sasa ni reasonable sana.
4.Kujiunga na hicho chama chenu hatutaki kulazimishwa.
5.Mashuleni hatutaki sura zenu..
N:B WALIMU WA ZAMANI NA SASA NI TOFAUTI 2NAOMBA MUELEWE TUKO PROFFENSIONAL ZAIDI TUNAUELEWA KULIKO MNAVYOFIKIRIA.
Katika Dunia ya leo hakuna mfanyakazi anayejitetea mwenyewe. Vyama vya wafanyakazi vilikuwepo enzi na enzi na matunda yake yanajulikana dunia nzima.
Mimi sio mwalimu lakini ni mdau wa CWT.
Walimu mnahitaji kutoa maoni yao kwa viongozi husika na kuelezea matatizo yao na viongozi wanawajibu wa kuyatatua.
Tanzania kumekuwa na historia ndefu katika vyama vya wafanyakazi, hakijawahi kutokea chama chenye muono wa maendeleo kama CWT na kwa uelekeo huo ni lazima kipigwe vita hasa na wadau wa serikali ambayo ndiyo mwajiri
Chama cha walimu kina vitegauchumi vifuatavyo:
1. Mwalimu house DSM
2. Ofisi za mikoa 21 ambazo ni maghorofa yasiyopungua gharama za Tshs 350,000,000/=
3. Wana zaidi ya Tshs 10Bilioni kwa ajili ya kuanzisha Benki ya Walimu
4. Wanajiandaa kujenga jengo la benki ya Mwalimu DSM Manzese
5. Ni chama ambacho makatibu wakuu ambao ni watendaji wilaya zote Tanzania na Mikoa yote Tanzania wana magari ya
kufanyia kazi.
Nafikiri hakuna chama hata vya Siasa Tanzania Ukiondoa CCM chenye uwezo wa pekee kiuchumi kama CWT
Ni wajibu wa walimu kuelezea wanataka nini kuboresha mahitaji yao kwa viongozi wa CWT . Benki itakapo anzishwa walimu wote utakuwa ndio mwisho kukopa kwenye mabenki mengine kwa riba wanayotaka wao. Waungeni mkono benki ianze muanze kuonja matunda ya umoja wenu.
Kungekuwa na vyama Vitatu kama CWT masilahi ya wafanyakazi Tanzania yasingenyonywa na wanasiasa ambao wanajijali wenyewe. Mishahara inapanda bungeni watendaji makazini wanaumia.
Mwalimu jipe Moyo hii ni vita na lazima mshinde.