Vyama vyama vyama...... umoja umoja umoja.. chama cha wanaume, chama cha watembea kwa miguuu, chama cha wasioenda chooni... chama cha wavuta sigara... chama cha watumiaji wa pesa za mitandao.... chama cha timu zinazofanya vibaya kwenye ligi..... chama cha UKAWA......
KILA MAHALI NI UMOJA WA....... AU CHAMA CHA ........
SASA BAADAE KITAKUJA CHAMA CHA WENYE VYAMA.