Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu
Kwa wanaofuatilia Sakata la Chama alipokuwepo Tanzania mwanzo na alipoondoka kwenda RS Berkane, kisha Aliporejea Tanzania na sababu zilizotolewa kurudi na uhalisia wa utumikaji wake kule Morocco.
.
Wataelewa kwanini nina hoji mengi tofauti na kusifu ubora wa miguu na akili ya Chama kiwanjani.
.
Dhumuni la andiko lilikuwa kuwahoji wanaotumia fursa ya utetezi wa Chama huyu wa Sasa kushtua kwa matendo yake ambayo kwangu hayajafikia matendo yake kabla ya kuondoka.
.
Hapa niliunga nadharia 3 na kwa wanaofuatilia trend lile andiko wasingeona Huo mkanganyiko.
.
Ila kwa wasiofuatilia, lile andiko lingewapa ukakasi nimesimamia wapi hasa au nina chuki ama ukariakoo ila nadhiri ni elimu na mawazo mbadala tuelewane pande zote za mawazo.
.
So nimewaelewa ila acha tueleweshane taratibu.
.
1- Kabla Chama hajaondoka tuliwahi jadili Hapa Jf. Moja ya hoja iliwahi semwa Kuwa Clatous Chota Chama ni mchezaji bora kuwahi kutokea Tanzania wa kimataifa.
.
Mimi nilikataa
Nilikiri Chama ni hatari sana ila nikasema nahitaji kumuona hivi hivi kwa zaidi ya misimu miwili ili Historia inapoandikwa haiandikwi kama muhtasari.
.
Kwa maana ndogo mimi sikupinga Ubora wake bali nilipinga timing iliyotumika kupigia mstari kikomo chake cha ubora kwa wakati huo.
.
2- Mantiki ya pili ni baada ya Chama kukosekana katika mechi za Morocco nyingi kuliko alizocheza na sakata lake la kurejea.
Mimi niliamua kuwa muwazi ya Kwamba , pamoja na ukweli wa talanta ya Chama kama mchezaji ila ni wazi ameshindwa ku cope enquiries za kiufundi na Kimbinu na kimahitaji ya level of fitness kucheza uarabuni kwani hiisi mara ya kwanza anafeli uarabuni.
Na nilipinga vikali kuamini ishu ya umbali sijui familia wala utetezi wa kwamba hakupapenda Berkane siku ya kwanza anafika.
.
Nilijiuliza swali, alikubalije kusajiliwa juu juu bila kujiridhisha na comfortability yake nje ya kiwanja kimazingira ?
.
3- Mantiki ya 3 ni ubora wa Chama tangu atue Tz. Binafsi sio sawa na ule ubora alioondokea
.
Kwangu yule Chama alikuwa bora sana kuliko huyu ninayemuona sasa.
.
Haimaanishi huyu Chama hana hio talanta ujue?
.
Ni ubora tu umepungua , ubora ambao with right mind right training and Teammates and right system ubora unaweza rejea.
.
Kwani pamoja na Kutokuwa bora kwa Chama hakumaanishi hana Talanta yake aliyopewa na Mungu.
.
Hapa ndipo alipoingia Ajibu
Ibrahim Ajibu kwangu ni Talent ambayo tanzania wanayo vizazi vichache ila Ajibu amewahi kuwa bora msimu miwili pekee tangu acheze ligi kuu. {Alipochipukia na Alipokwenda Yanga Sc mpaka kupewa Usinga pamoja na signatory ya Bakuli kipindi kile} .
.
Ndio Soka letu acha tuishi humo.
.
BACK TO CHAMA SASA...
Ni Kwamba Clatous Chota Chama is Playing in his comfort zone?
.
Chama karudi Tz sababu ya comfortability na anafahamu kuwa sisi wahusudu mafundi , tutamuimba kwa gharama yoyote na hatutamfosi kwenda extramile ku prove himself pamoja na kwamba anaujua.
.
Katika Mabadiliko ya Soka la kisasa KUUJUA PEKEE HAITOSHI BILA HARD WORK WITH SPEED DAY IN DAY OUT AND IMPROVE DAILY.
.
Na hapa ndipo Vita ilipo
.
A- Akina mimi tunaomuwazia Chama kuwa bora zaidi ya talanta yake na kutunufaisha kutazama talanta yenye ubora uliotolewa jasho na hasira za kijana mbichi na Veteran maji ya Jioni.
.
Putting more hard work day in day out , Hili si yeye bali na kwa huyu Ajibu wetu
.
B- Huku ni Walio wengi walioridhika na Burudani ya Chama hawahitaji ziada kama walivyomridhisha mzee wa Makorokoro . Mtoto wa hajatimiza ndoto zake kama mchezaji mwenye kipaji kikubwa mpaka leo.
.
Na Silaha inayotumika ni 1 tu.
.
Kumkingia kifua Chama kama alivyokingiwa Ibrahimu Ajibu enzi zake
.
Kwa hio niliamini wanaokumbuka hizi scenarios wangeelewa ninachomaanisha.
.
Ila pia nimeelewa kwanini baadhi yenu mengi yamewakanganya.[emoji1755]
.
ILA SOKA NA MIGONGANO YA MAWAZO NDIO KUKUA KWAKE WAJUBA.
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wanaofuatilia Sakata la Chama alipokuwepo Tanzania mwanzo na alipoondoka kwenda RS Berkane, kisha Aliporejea Tanzania na sababu zilizotolewa kurudi na uhalisia wa utumikaji wake kule Morocco.
.
Wataelewa kwanini nina hoji mengi tofauti na kusifu ubora wa miguu na akili ya Chama kiwanjani.
.
Dhumuni la andiko lilikuwa kuwahoji wanaotumia fursa ya utetezi wa Chama huyu wa Sasa kushtua kwa matendo yake ambayo kwangu hayajafikia matendo yake kabla ya kuondoka.
.
Hapa niliunga nadharia 3 na kwa wanaofuatilia trend lile andiko wasingeona Huo mkanganyiko.
.
Ila kwa wasiofuatilia, lile andiko lingewapa ukakasi nimesimamia wapi hasa au nina chuki ama ukariakoo ila nadhiri ni elimu na mawazo mbadala tuelewane pande zote za mawazo.
.
So nimewaelewa ila acha tueleweshane taratibu.
.
1- Kabla Chama hajaondoka tuliwahi jadili Hapa Jf. Moja ya hoja iliwahi semwa Kuwa Clatous Chota Chama ni mchezaji bora kuwahi kutokea Tanzania wa kimataifa.
.
Mimi nilikataa
Nilikiri Chama ni hatari sana ila nikasema nahitaji kumuona hivi hivi kwa zaidi ya misimu miwili ili Historia inapoandikwa haiandikwi kama muhtasari.
.
Kwa maana ndogo mimi sikupinga Ubora wake bali nilipinga timing iliyotumika kupigia mstari kikomo chake cha ubora kwa wakati huo.
.
2- Mantiki ya pili ni baada ya Chama kukosekana katika mechi za Morocco nyingi kuliko alizocheza na sakata lake la kurejea.
Mimi niliamua kuwa muwazi ya Kwamba , pamoja na ukweli wa talanta ya Chama kama mchezaji ila ni wazi ameshindwa ku cope enquiries za kiufundi na Kimbinu na kimahitaji ya level of fitness kucheza uarabuni kwani hiisi mara ya kwanza anafeli uarabuni.
Na nilipinga vikali kuamini ishu ya umbali sijui familia wala utetezi wa kwamba hakupapenda Berkane siku ya kwanza anafika.
.
Nilijiuliza swali, alikubalije kusajiliwa juu juu bila kujiridhisha na comfortability yake nje ya kiwanja kimazingira ?
.
3- Mantiki ya 3 ni ubora wa Chama tangu atue Tz. Binafsi sio sawa na ule ubora alioondokea
.
Kwangu yule Chama alikuwa bora sana kuliko huyu ninayemuona sasa.
.
Haimaanishi huyu Chama hana hio talanta ujue?
.
Ni ubora tu umepungua , ubora ambao with right mind right training and Teammates and right system ubora unaweza rejea.
.
Kwani pamoja na Kutokuwa bora kwa Chama hakumaanishi hana Talanta yake aliyopewa na Mungu.
.
Hapa ndipo alipoingia Ajibu
Ibrahim Ajibu kwangu ni Talent ambayo tanzania wanayo vizazi vichache ila Ajibu amewahi kuwa bora msimu miwili pekee tangu acheze ligi kuu. {Alipochipukia na Alipokwenda Yanga Sc mpaka kupewa Usinga pamoja na signatory ya Bakuli kipindi kile} .
.
Ndio Soka letu acha tuishi humo.
.
BACK TO CHAMA SASA...
Ni Kwamba Clatous Chota Chama is Playing in his comfort zone?
.
Chama karudi Tz sababu ya comfortability na anafahamu kuwa sisi wahusudu mafundi , tutamuimba kwa gharama yoyote na hatutamfosi kwenda extramile ku prove himself pamoja na kwamba anaujua.
.
Katika Mabadiliko ya Soka la kisasa KUUJUA PEKEE HAITOSHI BILA HARD WORK WITH SPEED DAY IN DAY OUT AND IMPROVE DAILY.
.
Na hapa ndipo Vita ilipo
.
A- Akina mimi tunaomuwazia Chama kuwa bora zaidi ya talanta yake na kutunufaisha kutazama talanta yenye ubora uliotolewa jasho na hasira za kijana mbichi na Veteran maji ya Jioni.
.
Putting more hard work day in day out , Hili si yeye bali na kwa huyu Ajibu wetu
.
B- Huku ni Walio wengi walioridhika na Burudani ya Chama hawahitaji ziada kama walivyomridhisha mzee wa Makorokoro . Mtoto wa hajatimiza ndoto zake kama mchezaji mwenye kipaji kikubwa mpaka leo.
.
Na Silaha inayotumika ni 1 tu.
.
Kumkingia kifua Chama kama alivyokingiwa Ibrahimu Ajibu enzi zake
.
Kwa hio niliamini wanaokumbuka hizi scenarios wangeelewa ninachomaanisha.
.
Ila pia nimeelewa kwanini baadhi yenu mengi yamewakanganya.[emoji1755]
.
ILA SOKA NA MIGONGANO YA MAWAZO NDIO KUKUA KWAKE WAJUBA.
.
Sent using Jamii Forums mobile app