Uchaguzi 2020 Chama kikuu cha upinzani ni NCCR MAGEUZI NI KAMA 1995

Uchaguzi 2020 Chama kikuu cha upinzani ni NCCR MAGEUZI NI KAMA 1995

Mwalimugeorge

Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
33
Reaction score
13
Chadema ❎
Habari wana jamvi!

Katazo la Mbowe linaonekana kugonga mwamba na kuleta mpasuko mkubwa ndani ya CHADEMA baada ya baadhi ya wabunge wachadema kukataa kile kilichoitwa ukandamizwaji wa demokrasia ndani ya CHADEMA chini ya Mfalme Mbowe!

Mpasuko ndani ya CHADEMA umeenda mbali zaidi baada ya mke wa afisa habari wa chadema bwana Tumaini Makene kutinga bungeni akidai kuwa hatoweza kuyumbishwa na Chama na yeyote ndani ya chadema kwani yeye ni wananchi kwanza!

Hadi kufikia jumatatu ni wabunge wasio pungua watano ndio watakuwa hawapo bungeni baada ya mgogoro zaidi kurndelea kuitesa CHADEMA ya Mfalme Mbowe.

Wasalaam




Sent from my iPhone using Tapatalk
Hii nchi imejikuta kwa miaka mitano hii ni vurugu tupu. Yani kama kuna mtu alikufa 2014 halafu akafufuka 2020 kisha akahadithiwa yaliyotokea atastaajabu.

Imagine spika wa bunge alivyo amemuita mbunge aliyejiuzulu kwa hiari yake ili arudi bungeni. Mbunge alikabidhi kadi ya chama kilichomdhamini ubunge hadharani akapewa kadi ya chama kingine. Leo huyo mbunge anaitwa kuendelea na ubunge wake kwa kutumia kilekile chama alichokikimbia.

Aidha Rais ametoa ndege kwenda kuchukua dawa ambayo masikini hata haijathibitishwa kuwa ni dawa. Rais wa nchi anayetoa dawa hajui hata dozi iweje kwa matumizi. Mbaya zaidi waziri msomi anainywa hadharani! Kama ni sumu? Hivi mbona kama nchi tumefikia kuchanganyikiwa hivi?

Dah acheni abane tu vyombo vya habari maana hivi tunavyovishuhudia ni vituko vya aina yake. Tuna ombwe kubwa la uongozi!
Kipimo cha kutokuwa na Akili timamu ni kushabikia CCM na CHADEMA.

Sent using Jamii Forums mobile app

AICT WAZALENDO ❎
NCCR MAGEUZI ☑️
 
Divide and rule.

Ccm nimewavulia kofia

komesha korona
 
Chadema wajilaumu wenyewe. Nafas walipewa wakacheza!
 
Chadema ❎




AICT WAZALENDO ❎
NCCR MAGEUZI ☑
Mwl pasi na elimu hujui uliandikalo! Hizo ndoto zako kazifungie kwenye boksi lako la maandalio zitakusaidia ukiwa na stress za madeni unayodaiwa mtaani!
Kwa taarifa yako, chama kikuu Cha upinzani ni covid-19 na ndicho kitachounda serikali! Wewe kazana na hivyo vyama makinikia but covid-19 is here to lead the country!
 
Maalim sefu ana uhakika.wa viti 25 pemba,utasemaje nccr ndio chama kikuu?
 
Wacha NCCR warudi kwenye kiti chao ambacho walikipoteza. NCCR ndio baba wa mageuzi hapa nchini si wengine hao wachumia tumbo!

Uzuri wajinga wa kujitakia wanazidi kuongezeka ccm, huku idadi ya wanaojitambua wakiongezeka nje ya ccm.
 
Wananchi, nafasi kidogo ya kuaminiwa, sasa 70% ya wale waliowaamini sasa hawaamini tena ktk chadema wanaona ni kijikundi flan cha kupiga ruzuku (na ndio ukweli)
Hiyo research uliyopata 70% ulitumia vigezo gan kuipata mkuu? Chama gani kinaaminiwa sasa hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom