Chama kitakachoshinda uchaguzi, kikitaka kuajiri kiangalie data base yake nani alikipa kura, watu tunapiga kura lakini mnatusahau

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Chama kitakachoshinda uchaguzi mkuu 2020,inabidi kianze utaratibu wa kuangalia kanzidata yake kabla ya kuajili MTU ktk ajira ya serikali,ikiwa kilipewa kura na MTU Huyo na anasifa zote basi apewe ajira

Kuna watu wanavyeo vikubwa wanakula AC maofisini lakini kwenye kura hawapigii chama.

Hapa nazungumzia vyama vyote sijataja chama japo Mimi ni Kijani.

Maoni yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…