Chama Kwenda Yanga hii inaonyesha kwa sasa hakuna Mchezaji anaweza ikataa Yanga ikimtaka

Chama Kwenda Yanga hii inaonyesha kwa sasa hakuna Mchezaji anaweza ikataa Yanga ikimtaka

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Nisikuchoshe..wewe ndie Mchezaji ushacheza sana unaona kabisa unaelekea ukingoni Yanga hawa apa na Yanga tena hii ya Hersi ambayo inashawishi kila kitu yani hii Yanga inashawishi Ndani na Nje ya Nchi.
Imekufata utagoma?

Mfano tu Mi shabiki LiaLia wa Manchester United Imagine Leo hii Mchezaji atakiwe na Madrid Paap hapa halaf na Chesii pale unafikiri atagoma kwenda Madrid?

Msimlaumu Chama Kwanza Chama sio Mtanzania yeye amefata Pesa na Mafanikio tu bongo akirudi kwao atasimulia alichokifanya Bongo Makombe aliyotwaa..tofauti na mchezaji Mzawa ambae atamaliza Mpira wake anarudi mtaani humuhumu kuendesha Bajaji mnakua mnapishana nae ila chama hatokuepo Bongo.
 
Yaani mtu ambaye sio mfuatiliaji wa mpira anaweza akadhani chama ni under 20 kwa kelele nyingi zinazopigwa mitandaoni.
 
... Yanga tena hii ya Hersi ambayo inashawishi kila kitu yani hii Yanga inashawishi Ndani na Nje ya Nchi.Imekufata utagoma?
Si rahisi kuigomea Yanga.
Yanga hii ilimshawishi hadi Boban akiwa amechoka mbaya na kuachwa na mnyama miaka kadhaa, lakini akaenda kuichezea Yanga msimu mzima. Ikamshawishi na Mkude, na baadae akafuata Okra. Sasa weka hiyo patern uone:
Boban, Mkude, Okra, Chama
Yanga hii haishindwi kushawishi walioachwa
 
Mchukueni mstaafu...ila kwa zile mbio za kina Yao...pacome..na aziz hyo anaenda tuu kuzurula hapo utopoloni ajistaafie zake apige hela...
 
Back
Top Bottom