Wangejua ninavyoumia tukitolewa au hata tukifungwa nadhani wangenielewa
Mapenzi kwa timu zetu yasitufanye tushindwe kuonyesha madhaifu yake na kutoa tahadhari
Anajisahau sanaNawaona tu Mtani mnavyotaka kumng'oa macho Ses wakati ana tahadhari nzuri tu.
Kitu tunachokitegemea ni home advantage lakini sare ya kutofungana ugenini sio nzuri sana
Tusijiamini kupita kiasi, ni ushauri wa bure kabisaHivi unajua maana ya advantage?mbona unakuwa mbishi na hutaki kujifunza kwa waliokuelezea hapo juu
Mkuu, mbona unaruka ruka sana, nani kakuambia Simba haiwezi kushinda??kushinda kwako unaona jambo gumu??Unataka tupite bila kushinda??Washindani wa kweli wanajua ili kupita ama kufuzu Kushinda ni sehemu ya wajibu wako!!Ni wajibu wetu Simba kushinda na tutautekeleza ipasavyo!!Nilikosea hapo mkuu ila nimesharekebisha. Hoja yangu ilikua Si.ba wasidhani wapo kwenye nafasi nzuri sana maana wao wanahitaji ushindi wa aina yoyote kwani sare ya magoli itamaanisha kuyaaga mashindano
Ndio maana nakukubali pamoja na Uyanga wakoHakika Ses. Japo wale shabiki mandazi kama Shadeeya hawatakuelewa hata kidogo. Wataona umenunuliwa. 😀
Tutafakari kushindwa??sio sehemu ya Utamaduni wetu, sisi tunawaza kumfunga hata BarcelonaMashabiki wa Mikia mnapenda maneno sukari tu. Mutafakari na hili pia sababu linaweza likawezekana pia. Lol.
Tumshauri kocha asifanye majaribio kwa waxhezaji asiokua na uhakika nao yakatokea kama ya mechi na SevillaMkuu, mbona unaruka ruka sana, nani kakuambia Simba haiwezi kushinda??kushinda kwako unaona jambo gumu??Unataka tupite bila kushinda??Washindani wa kweli wanajua ili kupita ama kufuzu Kushinda ni sehemu ya wajibu wako!!Ni wajibu wetu Simba kushinda na tutautekeleza ipasavyo!!
Good spirit but over confidence sometimes ina cost mkuuTutafakari kushindwa??sio sehemu ya Utamaduni wetu, sisi tunawaza kumfunga hata Barcelona
Mechi na Sevilla Kocha anakuambia alipanga kuwapa nafasi wachezaji wote waonje ladha ya kucheza na team ya kiwango cha dunia, haikuwa mechi ya kimashindano hivyo sio mfano sahihi.Tumshauri kocha asifanye majaribio kwa waxhezaji asiokua na uhakika nao yakatokea kama ya mechi na Sevilla
Doooh!!!Tutafakari kushindwa??sio sehemu ya Utamaduni wetu, sisi tunawaza kumfunga hata Barcelona
Apange kikosi cha mashindano na si majaribioMechi na Sevilla Kocha anakuambia alipanga kuwapa nafasi wachezaji wote waonje ladha ya kucheza na team ya kiwango cha dunia, haikuwa mechi ya kimashindano hivyo sio mfano sahihi.
Haya toa Ushauri unataka kikosi kiweje! Ambacho wewe ndio unaona serious?Tiririka sasa tunasoma tutamshauri
Ndio kipi hicho?kitaje mkuuApange kikosi cha mashindano na si majaribio
Kwa jinsi walivyocheza simba kule msumbiji kuna hatari wakatolewa mapema tu kwenye michuano hii.Nimekaa mara fikra za woga zimenijia. Nahofia timu yangu Lunyasi wa Msimbazi kuaga mapema kwenye michuano ya CCL. Naomba iwe ni ndoto tu
Kumbuka kwenye mchezo wao wa kwanza wa raundi ya kwanza walitoka sare ya bila kufungana AS SONGO ya Msumbiji
Ndugu zangu sare ya bilakufungana ugenini ni hatari sana. Unatembea kwenye uzi mwembaamba sana baina ya kusongambele na kutupwa nje ya mashindano.
Hapo hakuna alternative kwa Simba zaidi ya ushindi. Afadhali ile sare waliotoka watani zetu wa Jangwani na Township Rollers, sare ya bao moja kwa moja. Kama Yanga wakikaza ugenini wakatoka angalau sare ya bao mbili kwa mbili au zaidi wanafuzu kwa raundi inayofuata
Msimbazi akitoa sare ya magoli ya aina yoyote anaaga mashindano, suluhu ya bilabila ni changamoto ya mikwaju ya penati ambayo sikuzote haina mwenyewe!
Tuliidharau timu hii ya Mozambique lakini siku zote Msumbiji hua inatusumbua sana iwe kwa ngazi ya vilabu na hata timu ya Taifa. Wana style yao ya kufunga goli dakika tano za mwanzo na likang'ang'ania hadi mpira unaisha
Natoa wito kwa viongozi na hasa benchi la ufundi wasiwachukulie poa hawa jamaa
Waache kabisa tabia yao ya kufanya majaribio ya wachezaji na aina ya uchezaji, tabia ambayo kocha wetu Patric anayo sana. Waweke kikosi cha kazi isitukute aibu tukakosa pa kuweka sura zetu
Sisi mashabiki panapo majaaliwa tutakuwepo uwanja wa Taifa kutoa sapoti inayohitajika kama kawaida yetu
SIMBA NGUVU MOJA
Kupanga kikosi ni kazi ya kocha, siwezi thubutu kumpangia maana sio taaluma yangu. Hii haina maana akipanga kikosi cha hovyo tukapoteza mechi tuache kumlaumu, tutamlaumu hasa ukizingatia bajeti iliyotumika kukusanya kikosi chenyeweNdio kipi hicho?kitaje mkuu
Hii simba ya sasa siyo lethal kama ya msimu uliopita.Hakuna shida Mzee, Ila kukusaidia ile sare ya simba kwa ugenini ni afadhal zaid kuliko draw ya Yanga Nyumaban... Siku zote mechi za mtoano ukishindwa kutake advantage ya uwanja wako wa Nyumban kutolewa ni rahis sana.
Simba Msimu ulipita wa Champions League
Alimfunga Nkana taifa akafuzu hatua ya makundi
Alimfunga Vita mech ya mwisho taifa akafuzu robo fainali
Alidraw Home na Mazembe akaenda kutolewa Congo.
NB. Simba alishinda Mechi zake zote alizocheza Uwanja wa Taifa kwenye hatua ya Makundi.