Chama langu Simba hatari inakuja tuchukue tahadhari

Watoto wadogo kwa kigezo gani lazima uwafunge , kuwafunga ni baada ya dk 90 umetengulia goli moja mbele , tuache kujipa matumaini makubwa huu ni mpira unamaajabu yake.
Hahahaha acha kuteseka boss tunakanyaga hadi semifinals sisi ni Simba πŸ’ͺ.
.
Nyinyi jipangeni kwa msimu ujao
 
acha uduwanzi boya wewe..... yani makirikiri kwao yanga anakula nne kama msimu uleee...... na simba mechi ya dar lazima ashinde.
 
Usiwe zuzu mkuu!,simba haijawai kumuacha salama timu yoyote iliyocheza nae Kwa mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…