Chama langu Simba hatari inakuja tuchukue tahadhari


Hofu yako imetimia. Siku nyingine hakikisha unafikisha taarifa kote kote huenda zikafanyiwa kazi
 
Next time nikiona aliyeanzisha uzi anaitwa mbumbumbu, chura, hajui kitu nitajua yeye anasema kweli ila wanaotoa hizo sifa ni za kwao wenyewe. Lol.
 
Sa
Hofu yako imetimia. Siku nyingine hakikisha unafikisha taarifa kote kote huenda zikafanyiwa kazi
Sawasawa mkuu. Watu hatujifunzi kwa matukio ya wenzetu. Brazil walipigwa 7-1 nyumbani kwao kwa kosa la kujiamini kupita kiasi na kuwadharau wapinzani wao Ujerumani
 
Mleta uzi popote ulipo kunywa Pepsi mwambie muuzaji nitalipa
 
Teh teh teeeeeh!
Huenda hajui mpira mkuu, hajui kuwa Vyura wanalazimika jua liwake au lisiwake ni lazima wafunge goli ndio wapite na hapo itategemea na FT results.
.
Simba hapa lazima ashinde wale watoto wadogo sana
 
Kwa jinsi walivyocheza simba kule msumbiji kuna hatari wakatolewa mapema tu kwenye michuano hii.

Wakishikiliwa mpaka penalty watatolewa tu maana wanavyocheza ni kama wanalewa kwanza ndiyo wanaingia uwanjani.
Mimi safari ya simba niliona kuwa nifupi sana toka mechi ya kule Mozambique na leo hili limejidhihirisha.
 
Kuna wakati kama kweli tunazipenda timu zetu inabidi tuwaambie ukweli. Simba hii timu waliidharau na wamejiamini kupita kiasi. Wanaingia uwanjani kwa kucheza na historia

Waamke wachukulie mambo seriously
Wachezaji waliingia kwenye mtego wa mashabiki wa kujiamini kupita kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…