Chama langu Simba hatari inakuja tuchukue tahadhari

Kuna wakati kama kweli tunazipenda timu zetu inabidi tuwaambie ukweli. Simba hii timu waliidharau na wamejiamini kupita kiasi. Wanaingia uwanjani kwa kucheza na historia

Waamke wachukulie mambo seriously
Hata kwenye ligi simba haitakuwa ya kutisha sana kama inavyodhaniwa kwanza kuna uwezekano wakamfukuza kocha
 
Tuko wote dada mpendwa, Kilichonisikitisha na hiki sisemi kwa unafiki huku kwenye banda
umiza kuna wa 3 wamezimia, mmoja amekimbizwa hospitali hawa wawili naona wako vizuri
sasa.
[emoji28][emoji28][emoji28]

Dah nacheka ingawa si mazuri

Shida mlijiamini sana mkuu

Na mlizidisha kejeli

Mungu Fundi sana
 
Timu yetu ya simba tangu day one na Power dynamo kwakweli tunacheza hovyo sana kipindi cha kwanza.Hata Azam wangweza kumaliza mchezo kipindi cha kwa siku ile sema tu hawakuwa makini.Ukweli lazima usemwe first half zimekuwa si nzuri sana na huwa timu inakaba kwa macho. Tutakuja kushindiliwa goli na timu za ajabu ligi kuu na zisirudi walai tena. Kuna ombwe kubwa tena sana la ukabaji,tunaeza dhalilika siku tukikutana na mtani.
 
Heshima yako Mkuu... Dah..
Si Kwa utabiri huu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…