Chama na Kanoute wanawania tuzo ya mchezaji bora wa wiki wa CAF

Chama na Kanoute wanawania tuzo ya mchezaji bora wa wiki wa CAF

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
5c3f8fe84d794a9c869adbf447b4ae83_336578062_129856996548603_7353580363190724626_n.jpg


Wachezaji wetu wawili Chama na Kanoute wanawania tuzo ya mchezaji bora wa wiki wa CAF kutoka kwenye mashindano makubwa ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Haya sasa Wana Simba twende tukapige kura tumchague mchezaji bora wa wiki kati ya Chama au Kanoute

My Take
1. Tunakuomba ingia twiter kumpigia kura umtakaye kati ya Chama na Putin

2.Kujilinganisha na Simba Sc ni kujitia stress tu. Haya mchezaji wa game ndogo ndiyo huyo hapo kwa mara ya pili.

Huo muda unaotumia kuichambua Simba vibaya bora ungetumia kuchambua tembele
 
Pia wachezaji 4 wa Simba wameingia katika kikosi bora cha wiki Chama, Kapombe, Kanoute na Baleke. Pia magoli 2 ya Simba yapo kwenye magoli 5 bora ya wiki.

Kumuacha Kapombe kwenye timu ya taifa ni uhujumu uchumi.

20230321_203305.jpg
 
Hii vote itakuwa ngumu kwa Simba labda Ahmed Ally alisimamie kuongeza ushiriki. Misri wako active sana kwenye social media, waliangusha hadi serikali yao kwa kutumia social media tu. Ingekuwa Instagram kidogo tupo wengi ila tupambane hata huko Twitter.

Na naona wamepindua meza huko, mtu wao anaongoza.
 
Hii vote itakuwa ngumu kwa Simba labda Ahmed Ally alisimamie kuongeza ushiriki. Misri wako active sana kwenye social media, waliangusha hadi serikali yao kwa kutumia social media tu. Ingekuwa Instagram kidogo tupo wengi ila tupambane hata huko Twitter.

Na naona wamepindua meza huko, mtu wao anaongoza.
Tatizo tunashindwa tumpigie yupi Kati ya chama na na kanaoute
 
Hii vote itakuwa ngumu kwa Simba labda Ahmed Ally alisimamie kuongeza ushiriki. Misri wako active sana kwenye social media, waliangusha hadi serikali yao kwa kutumia social media tu. Ingekuwa Instagram kidogo tupo wengi ila tupambane hata huko Twitter.

Na naona wamepindua meza huko, mtu wao anaongoza.
Kwani Dada Barbara si yupo CAF? Na yule admin wetu wa CAF si kijana wetu wa Msimbazi?
 
Hii vote itakuwa ngumu kwa Simba labda Ahmed Ally alisimamie kuongeza ushiriki. Misri wako active sana kwenye social media, waliangusha hadi serikali yao kwa kutumia social media tu. Ingekuwa Instagram kidogo tupo wengi ila tupambane hata huko Twitter.

Na naona wamepindua meza huko, mtu wao anaongoza.
Uto wamekusanyana kumpigia kura karhaba na mwiko wao wa jezi nyekundu 🤣
 
Uto wamekusanyana kumpigia kura karhaba na mwiko wao wa jezi nyekundu 🤣
Inawezekana maana nchi ngumu sana hii 🤣😂🤣

Ila ebwana gap limepungua sana na nadhani imechangiwa na Simba kule IG kutoa link ya watu kupiga kura.

Inabidi watu wakumbushwe kupiga kura mwisho saa 10 jioni. Uhamasishaji ungeongezwa, gap lililopo linafikika kabisa.
 
Back
Top Bottom